Geeque
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 936
- 316
- Thread starter
- #21
Geeque!Mbona wenzako wapo mnazimmoja wanasheherekea hiyo sikukuu yenu?wewe uko wapi nikutumie usafiri ili uwahi hata kushikana mikono na wenzako.nenda mkapange mikakati yenu ya mwaka huu mpaka mwakani april Mosi tena.
Mazee usafiri shida huku mitaa yetu daladala zenyewe za kuhesabu lakini nitafika hapo Mnazi Mmoja hata kwa mkokoteni ha ha ha.