wandugu,
..i read in the news kwamba kuna wazee wa Kipemba wameamua kumshtaki Mkapa na Omar Mahita kutokana na mauaji yaliyotokea Pemba.
..ninavyokumbuka Raisi Mkapa alikuwa nje ya nchi mauaji yale yalipotokea. vilevile IGP Mahita, kama sijakosea, alikuwa likizo kipindi kile na kulikuwa na Acting IGP.
..kuna madai kwamba mauaji yale yalifanywa na askari polisi waliotokea Tanzania Bara.
..ZNZ kuna vikosi vya Polisi na Mkuu wa Vikosi hivyo kwa utaratibu huwa ni Mzanzibari na huteuliwa na Raisi wa Zanzibar.
..Raisi wa ZNZ hupigiwa wimbo wa Taifa, mizinga, na kukagua gwaride, la vikosi vya ulinzi na usalama vilivyoko ZNZ. kwa msingi huo Raisi wa ZNZ ana mamlaka fulani na vyombo vya ulinzi na usalama vilivyoko ktk nchi yake.
..kutokana na muhtasari huo mfupi, ninaomba michango yenu kuhusu matukio yale ya kusikitisha yaliyotokea kisiwani Pemba.
..ninaomba kufahamu ni nani alikuwa akikaimu nafasi ya Raisi wa Muungano na kuhusika kwake ktk mauaji yale.
..nani alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Muungano, na nani alikuwa waziri incharge wa vyombo vya ulinzi ZNZ, na hao walihusika vipi?
..je IGP Mahita alihusika au aliyekaimu nafasi yake ndiye alikuwa mhusika mkuu?
..je, kamanda wa vikosi vya Polisi ZNZ alihusika au hakuhusika na mauaji haya?
NB:
..kuna mtu yeyote ana makala ya ripoti ya Brig.Gen.Hashim Mbita? pia naomba kufahamu wajumbe wa kamati hiyo.
..i read in the news kwamba kuna wazee wa Kipemba wameamua kumshtaki Mkapa na Omar Mahita kutokana na mauaji yaliyotokea Pemba.
..ninavyokumbuka Raisi Mkapa alikuwa nje ya nchi mauaji yale yalipotokea. vilevile IGP Mahita, kama sijakosea, alikuwa likizo kipindi kile na kulikuwa na Acting IGP.
..kuna madai kwamba mauaji yale yalifanywa na askari polisi waliotokea Tanzania Bara.
..ZNZ kuna vikosi vya Polisi na Mkuu wa Vikosi hivyo kwa utaratibu huwa ni Mzanzibari na huteuliwa na Raisi wa Zanzibar.
..Raisi wa ZNZ hupigiwa wimbo wa Taifa, mizinga, na kukagua gwaride, la vikosi vya ulinzi na usalama vilivyoko ZNZ. kwa msingi huo Raisi wa ZNZ ana mamlaka fulani na vyombo vya ulinzi na usalama vilivyoko ktk nchi yake.
..kutokana na muhtasari huo mfupi, ninaomba michango yenu kuhusu matukio yale ya kusikitisha yaliyotokea kisiwani Pemba.
..ninaomba kufahamu ni nani alikuwa akikaimu nafasi ya Raisi wa Muungano na kuhusika kwake ktk mauaji yale.
..nani alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Muungano, na nani alikuwa waziri incharge wa vyombo vya ulinzi ZNZ, na hao walihusika vipi?
..je IGP Mahita alihusika au aliyekaimu nafasi yake ndiye alikuwa mhusika mkuu?
..je, kamanda wa vikosi vya Polisi ZNZ alihusika au hakuhusika na mauaji haya?
NB:
..kuna mtu yeyote ana makala ya ripoti ya Brig.Gen.Hashim Mbita? pia naomba kufahamu wajumbe wa kamati hiyo.