Hahahahahaaaaaa. Hili ni tatizo kubwa kwa nchi yetu mkuu. Nadiriki kusema bila woga kwamba Tanzania ina matatizo huko iendako maana watu hawana uelewa wa mambo yanavyokwenda. Kitendo cha kuchoka chama na kuwa tayari kuweka jiwe kina kila dalili ya kuonyesha watu hawafikili vyema. Hii ni kwa ajili ya kukosa lishe bora utotoni na hivyo ubongo kudumaa. Haiwezekani watu wasahau mapema kiasi hiki. Kuna tatizo tena kubwa
mkuu ni kwel watz tumekosa lishe bora utotonu hivyo hatufikirii vizur na hii ni sabb serikal ya ccm inatumia rasilmal zetu kwa maslah yao
hatuna iman tena na ccm,bora jiwe kulko hawa watu......
unatakiwa kujua hapa tatzo sio lowasa wala magufuli,,,chuki zetu ni dhidi ya shetan ccm na vibaraka wao..
hata lowasa angekua ccm tungemkana ivo ivo