Teamubwabwa
Senior Member
- Jul 7, 2015
- 172
- 59
Kumbe UKAWA mafuriko sio ya Lowasa ni eti watanzania wameichoka CCM hivyo hata Kama linalogombea ni JIWE litapigiwa kura ili CCM itoke madarakani eti imechokwa.
Ndo maana mgombea wao anazungumza pumba watu wanashangilia. Eti atawaondolea umaskini ndani ya siku 100. Pia kila mwenye Gari na bodaboda wataongezewa mengine. Wanafunzi wote bure mpaka university.
UPUMBAVU NA ULOFA HUU.
Ndo maana mgombea wao anazungumza pumba watu wanashangilia. Eti atawaondolea umaskini ndani ya siku 100. Pia kila mwenye Gari na bodaboda wataongezewa mengine. Wanafunzi wote bure mpaka university.
UPUMBAVU NA ULOFA HUU.