Mkapa,Kikwete,Kinana na Magufuli mbona wamechelewa kumpongeza Dr.Shein kwa ushindi wa kishindo?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Nashangaa hawa vigogo wa CCM mpaka sasa hawajatoa salaam za pongezi kwa Dr.Shein baada ya kupata ushindi wa kishindo wa asilimia 91.4 kwenye uchaguzi huu wa Zanzibar.

Ukiacha hawa, hata vigogo wa CCM huko Zanzibar wakiwemo maraisi wastaafu wa Zanzibar nao kimya!Kuna nini?Au sijui huu ushinda hauna raha!

Anyway,wacha tusubiri labda bado mapema sana au mimi ndio sijui.
 
Magufuli keshatoa pongezi na vyombo vya habari vimetangaza.

Hao wengine wametoa pongezi kimya kimya kwa sababu wakitumia vyombo vya habari mtawasema kuwa wanapenda kila wakati kusikika kwenye vyombo vya habari.
 
Niliwahi kuandika Naiona
zAnzBar juu ya bahari!!!

Hakuna atakayeshinda Milele:

Tuendelee Kuombea Utulivu !
Bwana Mungu atashughulika Na hawa wananaowabagua ndugu zetu

Na kufukua makuburi ya historia ili waendelee kuwepo ma kuwaridhisha wawapendao utawala wa duniani !
 
Nashangaa hawa vigogo wa CCM mpaka sasa hawajatoa salaam za pongezi kwa Dr.Shein baada ya kupata ushindi wa kishindo wa asilimia 91.4 kwenye uchaguzi huu wa Zanzibar.

Ukiacha hawa, hata vigogo wa CCM huko Zanzibar wakiwemo maraisi wastaafu wa Zanzibar nao kimya!Kuna nini?Au sijui huu ushinda hauna raha!

Anyway,wacha tusubiri labda bado mapema sana au mimi ndio sijui.
bado wanajifikiria watoe pongezi au la!
 
Nashangaa hawa vigogo wa CCM mpaka sasa hawajatoa salaam za pongezi kwa Dr.Shein baada ya kupata ushindi wa kishindo wa asilimia 91.4 kwenye uchaguzi huu wa Zanzibar.

Ukiacha hawa, hata vigogo wa CCM huko Zanzibar wakiwemo maraisi wastaafu wa Zanzibar nao kimya!Kuna nini?Au sijui huu ushinda hauna raha!

Anyway,wacha tusubiri labda bado mapema sana au mimi ndio sijui.
Itifaki lazima izingatiwe, ulitaka waanze wao ndo wafuate wajumbe wa nyumba 10?
 
Kuna clip ya Alshaabab inasambazwa huko FB ,kama ni ya kweli Zbar itakuwa kwenye matatizo makubwa kama ilivyo kwa Somalia. Pia napenda kutumia muda huu kutoa rai tuombee yaliyotokea huko Brussels Jana!
 
Sijasikia,nilichosikia ni Chama cha Majangili kimetoa pongezi nyingi kwa ushindi wa kushindishwa kwa mshindo mkuu.
 
Niliwahi kuandika Naiona
zAnzBar juu ya bahari!!!

Hakuna atakayeshinda Milele:

Tuendelee Kuombea Utulivu !
Bwana Mungu atashughulika Na hawa wananaowabagua ndugu zetu

Na kufukua makuburi ya historia ili waendelee kuwepo ma kuwaridhisha wawapendao utawala wa duniani !
endelea kuota mkuu.
 
Nashangaa hawa vigogo wa CCM mpaka sasa hawajatoa salaam za pongezi kwa Dr.Shein baada ya kupata ushindi wa kishindo wa asilimia 91.4 kwenye uchaguzi huu wa Zanzibar.

Walishampongeza na kesho wanaenda kumwapisha.Naona ulikuwa darasani. Utaomba ajira serikalini au utajiajiri baada ya masomo yako?
 
Wameshaelewa kuwa ushindi wa Shein si wa halali, watajidharirisha tu kutoa hizo pongezi.
 
Back
Top Bottom