mkapa ameisaliti ccm gesi ya mtwara

mkapa ameisaliti ccm gesi ya mtwara

Benazir Buto

Member
Joined
Sep 30, 2012
Posts
65
Reaction score
8
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao

Mi napita tu....
 
Ameongea kitu safi sana,nami naenda kupiga kambi ya uelimishaji ili ndugu zangu wajitambue zaidi
Gesi kwanza kifo baadaye.
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao

Mkuu ulikuwa unaota?
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao

Karume nae kawaambia UAMSHO Wakiruhu tu Znzb kuendelea na Muungano wamepoteza jumla utaifa wao.
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao

Kama ni kweli namuunga mkono mzee beni.wana mtwara 2po tayari kwa kila kitu.

"Nitabadilisha gesi ya mtwara kuwa maji asilia kama ikipelekwa dsm" bi mwanaenzi mtwara
 
Hembu soma hii uielewe!!

Habari.

Sisi wana Mtwara tunachohitaji viwanda, power plant, gas processing, mbolea industries, cement ind...nk, halafu baadae wawekezaji wakishakuwa wengi, southern zone itafunguka(infrastructure) na hapo sasa gas iende kokote wanakotaka.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini serikali haikupeleka gridi ya taifa south?? Unajua kwa nini kilimo cha pamba kilihamishwa mtwara kwa kudai kuna wadudu wala pamba? hivi ulishawahi kujiuliza mtwara corridor aliyeanzisha mkapa iliishia wapi?? Hivi uliwahi kujiuliza kwanini barabara ya mtwara-dar tangu mwaka 2005 mpaka leo haijaisha?? Kung'olewa kwa reli je una habari nayo??

Kwahiyo wana mtwara si wapuuzi hata kidogo...
 
kauli ya vichochoroni Mkapa alitoa kauli kuwa gas ni ya watanzania woote ,acheni mzee apumzike, kumpakazia sio vizuri maneno ya majungu haya ghasia kampelekea kj
 
Tutasikia mengi mwaka huu,mwaka wenyewe bado mchanga

uzuri wetu sisi ni mapoyoyo,hapa litaanzishwa skendo jingine stori ya mtwara tutaisahau!!!ushauri wangu hapa ni pande mbili kukaa na kutoka na win-win solution,kila upande ufahamu frm z beginingi wanafaidika vipi na mradi.si bora nyie huko gesi inachukuliwa kuletwa sehemu ya tz kuliko huko kwingine tunapigwa bao la kisigino.eti tanzanite inapatikana tz pekee wakati kwenye renki sisi wa tatu kwa kuuuza kwenye soko la dunia!!!anyway,piaganieni mnachoamini kwenu ni sahihi
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao




Nawaunga mkono.
 
Back
Top Bottom