Benazir Buto
Member
- Sep 30, 2012
- 65
- 8
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.
amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao
amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao