mkapa ameisaliti ccm gesi ya mtwara

mkapa ameisaliti ccm gesi ya mtwara

Gas kwenda Dar, kiuchumi ni sawa kabisa lakin kinachosemwa na watu ni kwamba, ikifika Dar tu, ule mpango wa Bagamoyo yan viwanda, bandar, airport, fly over, Masoko n.k ndo utakamilishwa kirahis then wawekezaji wote watawekeza karibu na soko (Dar), kwahiyo Mtwara wataendelea kubak kama walivyowakuta.

Ndo mana walioshtukia wanasema fursa za uwekezej zipelekwe Mtwara kwanza then ndo Bagamoyo n.k.
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao
Alipokuwa madarakani hakuiandaa mtwara kimaendeleo, leo yuko nje ya madaraka ndio anapiga kelele. Hapo ndio utakavyojua ni jinsi gani watanzania walivyo wabinafsi na jinsi gani wasivyowajali wengine wakiwa madarakani, wakishakuwa nje ya system ndio makelele kibao.
Watanzania hatupendani kiukweli, inabidi tubadilike.
Leo hii tunawasapoti chadema kwa sababu CCM imeoza mno, lakini sitoshangaa chadema kufanya the same kama CCM watakapokuwa madarakani.
 
Mukapa,JK do they really care about us? If they did they would subsidize a tiny fraction of trillions of cubic feet natural gas for home cooking. What a scandal that a 14 kg cooking gas cylinder cost way above Tsh 50000 in country awash with gas. Where is the commitment to well being of the mwananchi? Commitment to saving our forest reserve ever being depleted to provide charcoal. We need a Hugo Chaves.
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao

Nitarudi baadae kwa ajili ya mjadala!!
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao
Mzee kabadilika siku hizi!
 
Alipokuwa madarakani hakuiandaa mtwara kimaendeleo, leo yuko nje ya madaraka ndio anapiga kelele. Hapo ndio utakavyojua ni jinsi gani watanzania walivyo wabinafsi na jinsi gani wasivyowajali wengine wakiwa madarakani, wakishakuwa nje ya system ndio makelele kibao.
Watanzania hatupendani kiukweli, inabidi tubadilike.
Leo hii tunawasapoti chadema kwa sababu CCM imeoza mno, lakini sitoshangaa chadema kufanya the same kama CCM watakapokuwa madarakani.
Kwani aliyepo jikoni na aliyepo sebuleni wapo sawa kuonja chakula?
 
Sijasikia kauli rasmi ya Nzee Nkapa kuhusu hili, hivyo kama naamini amini vile.
 
Jamani muacheni MKAPA apumzike kwani kama angeamua kutengeneza Mtwara corridor asingeshindwa kwani aliweza kudhibiti mfumuko wa bei,alimudu kuuza raslimali nyingi za taifa kwa bei ndogo hivyo akamuachia rais aliyemfuata akiwa na fedha nyingi hazina ambazo kama angetaka kuendeleza huko saa hivi ingekuwa raha tupu,pesa iliyoachwa ikatumika kwa matanuzi zaidi ndipo wakaanza kukaa Marekani wiki tatu anapiga picha na Boys to man pesa zikaisha saa hivi tunakopa nje kuliko wakati mwingine na tulikuwa tukilipa madeni sasa hivi ni balaa deni limeongezeka watapata taabu kulilipa watoto wa vilembwe wetu kulipa deni ambalo wamekula mafisadi
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao
acha umbeya uchonganishi na ufitini mkapa ni mtu makini hawezi kufanya ushenzi huo
 
Alipokuwa madarakani hakuiandaa mtwara kimaendeleo, leo yuko nje ya madaraka ndio anapiga kelele. Hapo ndio utakavyojua ni jinsi gani watanzania walivyo wabinafsi na jinsi gani wasivyowajali wengine wakiwa madarakani, wakishakuwa nje ya system ndio makelele kibao.
Watanzania hatupendani kiukweli, inabidi tubadilike.
Leo hii tunawasapoti chadema kwa sababu CCM imeoza mno, lakini sitoshangaa chadema kufanya the same kama CCM watakapokuwa madarakani.
Aliimarisha uchumi wa nchi kwanza lakini akaweka mipango madhubuti ya kuendeleza kusini kama vile mtwara corridor na ujenzi wa barabara mara muda ukawa hauruhusu. Mwenzake sasa balaaaaaaa
 
Source please

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu.

amesema wapigane kufa na kupona gesi isivuke mipaka ya mkoa wao
Hata kama hajasema, bado hicho ulichokiandika ni kweli, yaani wakiachia tu, basi ni umasikini wa kudumu. Kuna mdau kaandika reli iling'olew, southern corridor imebaki kwenye makaratasi, grid ya taifa haikuwahi kwenda, bandari inasuasua na ndo hiyoooo chinaaa kumkomboa kaka mtarajiwa wa taifa, tangu 2005 barabara ya kusini haijaisha na wala hatujasikia tamko lolote, korosho wanakopwa kwa bei ndogo... We acha tu waipiganie. Mbona viwanda vya pamba viko kunakolimwa pamba? Mbona viwanda vya sukari viko kunakolimwa miwa? Mbona makampuni ya madini yapo kunakopatikana madini? Mbona viwanda vya samaki vipo kunakopatikana samaki? Mbona uzalishaji wa umeme wa maji unafanyika kwenye vyanzo vya maji? Mbona viwanda vinavyoshughurika na makaa ya mawe vimejengwa kunakopatikana makaa ya mawe? Kwanini vyote hivyo havikuletwa Dar? Halafu hii ya kusema gesi ni ya wananchi wote ni kweli, lakini si wananchi wote wanaishi Dar, kama hiyo sababu, basi hiyo gesi ipelekeni kigoma, nako si kuna watanzania?
 
Back
Top Bottom