Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,449
- 16,324
Tunaendelea kukumbushana tuu kwamba hata hili la bandari siyo udini kama wazushi wanavyozusha.
Kipindi cha "Privatization" kilipopamba moto Hayati Rais Mstaafu Mkapa alitaka kubinafsisha shirika la ndege. Baraza la maaskofu TEC lilimuita na likamshauri kutokubinafsisha shirika hilo kwani ni kama "Mbawa" za nchi.
Vivyo hivyo kwenye hili la bandari wale mnaoshangaa TEC kutokukubaliana nalo basi hamuijui historia, bandari ni kama lango la nchi, ni mwendawazimu tuu ndiyo atakubali uwekezaji wenye mkataba aina ile, ambao unampa muwekezaji "Total Autonomy" muwekezaji ya kufanya chochote na nchi hairuhusiwi kuhoji chochote
Msikilize Padre Kitima hapa chini akitema madini kuhusiana na mambo ya uwekezaji.
Kipindi cha "Privatization" kilipopamba moto Hayati Rais Mstaafu Mkapa alitaka kubinafsisha shirika la ndege. Baraza la maaskofu TEC lilimuita na likamshauri kutokubinafsisha shirika hilo kwani ni kama "Mbawa" za nchi.
Vivyo hivyo kwenye hili la bandari wale mnaoshangaa TEC kutokukubaliana nalo basi hamuijui historia, bandari ni kama lango la nchi, ni mwendawazimu tuu ndiyo atakubali uwekezaji wenye mkataba aina ile, ambao unampa muwekezaji "Total Autonomy" muwekezaji ya kufanya chochote na nchi hairuhusiwi kuhoji chochote
Msikilize Padre Kitima hapa chini akitema madini kuhusiana na mambo ya uwekezaji.