Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Uzuri ni kwamba, mafisadi, vibaka na wapea sumu wote wako CCM. Unaonaje Chama chenu?
Kipi?
Uzuri ni kwamba, mafisadi, vibaka na wapea sumu wote wako CCM. Unaonaje Chama chenu?
Tatizo la nchi hii ni CCM na polisi. Polisi wamekuwa tawi ndani ya CCM mpaka imefikia kuona CCM ni watakatifu na wakifanya makosa yanatakaswa kwa ngyvu zote. Ila wapinzani hata wakikaa wawili tu mahali ni uchochezi. Sheria zote zinazotungwa na Bunge ni kwaajili ya kuilinda CCM dhidi ya upinzani. Yanakaribia kuishaKwa akili yako,angeweza kudhuliwa bila wahusika kupata go ahead?
Waliomuwekea Mangula sumu wamewahi kukamatwa?
Kama hawajakamatwa,jiulize ni kweli wameshindwa kupatikana au kuna jambo nyuma yake?
Chenge ana kosa gani zaidi ya siasa zenu uchwara za kuchafua watu ili mpate kiki kwa wananchi? Rejea ya Msigwa na KinanaKama ccm hii hii kila uchaguzi haimkati CHENGE utegemee ccm itabadilika, ccm ni ile ile.
Kumbe ndiyo maana Magu hacheki na nyani,ukimmisslead tu anakulamba kichwaAlishakiri kwenye kitabu chake kuwa alikosea wataalamu aliowapa kazi walinmumislead .Mkapa alipompa kazi kibaka Daudi Balali Kama mshauri wake wa uchumi na mkewe Balali ndio waliharibu kumshauri kuanzia ubinafsishaji holela,kuuza Mali za umma kuanzia mashirika Hadi nyumba za serikali na za mashirika ya umma nk
Wakikamatwa hao waliomuwekea sumu Mzee Mangula aibu ni ya CCM yote.Kwa akili yako,angeweza kudhuliwa bila wahusika kupata go ahead?
Waliomuwekea Mangula sumu wamewahi kukamatwa?
Kama hawajakamatwa,jiulize ni kweli wameshindwa kupatikana au kuna jambo nyuma yake?
Bila kumtafutia kiki mtu wao mambo hayaendi. Watabaki vinywa wazi tar 28 /10.Umeelewa mada? Au wewe hata mtu akikohoa unafikiri ni Lisu?
Nimechukua kwa uzito mkubwa maneno yako "I smell a rat". Wengi tumenusa harufu ya Panya huyo, ni dhahiri hata utoaji taarifa ya kifo hiki unatia shaka. Wengine watasema miaka 82 mlitaka asife? Mbona kuna wenye 90 hawajafa? I smell a Rat.Hata makamu wa Raisi Mama Suluhu Kashtuka na Spika Mstaafu mama Makinda kaonyesha Kushtuka
Hata ningekuwa Mimi, umakini wote wa Mangula umeyeyuka.Mangula hana meno tena. Baada ya kunusurika kifo hawezi kuwa yeye tena. Ya kazi gani afupishe maisha,acha wajiamulie wapendavyo yeye astaafu kwa amani.
Kwahio Chenge nimsafi sio fisadi?. Kiukweli ccm ni ile ile.Chenge ana kosa gani zaidi ya siasa zenu uchwara za kuchafua watu ili mpate kiki kwa wananchi? Rejea ya Msigwa na Kinana
Ndio kajifunza kwa MKapa .Wengi walikuwa wakimlaumu Magufuli kuwa ndie aliuza nyumba za serikali akiwa waziri kitu ambacho sio kweli kilichofanyika ni genge la washauri vibaka wa Raisi Mkapa akina Daudi Balali na mkewe ambao mkapa aliwaamini sana kama washauri wake wa uchumi waka mu mislead vibaya mno kwenye hayo ya kuuza mashirika na mali za umma na kuzibinafsishaKumbe ndiyo maana Magu hacheki na nyani,ukimmisslead tu anakulamba kichwa
Alishakiri kwenye kitabu chake kuwa alikosea wataalamu aliowapa kazi walinmumislead .Mkapa alipompa kazi kibaka Daudi Balali Kama mshauri wake wa uchumi na mkewe Balali ndio waliharibu kumshauri kuanzia ubinafsishaji holela,kuuza Mali za umma kuanzia mashirika Hadi nyumba za serikali na za mashirika ya umma nk
Ndio kajifunza kwa MKapa .Wengi walikuwa wakimlaumu Magufuli kuwa ndie aliuza nyumba za serikali akiwa waziri kitu ambacho sio kweli kilichofanyika ni genge la washauri vibaka wa Raisi Mkapa akina Daudi Balali na mkewe ambao mkapa aliwaamini sana kama washauri wake wa uchumi waka mu mislead vibaya mno kwenye hayo ya kuuza mashirika na mali za umma na kuzibinafsisha
Ndio maana Magufuli mkali kama pilipili kwa wasaidizi wake au anaowateua.Ukim mislead akajua utamkoma