Mkapa alikubali Kikwete alikataa kupokea zawadi

Targaryen

JF-Expert Member
Feb 20, 2017
675
640
Rais Kikwete Alikataa Kupokea Zawadi Ya Dhahabu Kutoka Kwa Kampuni Ya Nyamigogo (GVH) Ya Mkoani Geita Gramu 227 Ikiwa Na Thamani Ya Tsh. 16 Milioni Katika Soko La Dunia Kwa Wakati Huo Mwaka 2013. Dkt. Kikwete Aliagiza Dhahabu Hiyo Iuzwe Na Fedha Zake Zisaidie Watoto Yatima.
Taarifa Ya Ikulu Ya Novemba 11, 2013 Ilisema.

Wakati Kikwete Akifanya Hivyo, Rais Mkapa Akizindua Mgodi Wa Dhahabu Wa Golden Pride, Nzega Mkoani Tabora Uliokuwa Unamilikiwa Na Kampuni Ya Resoluted Mining Limited Ya Australia Februari 7, 1999 Alikubali Kupokea Zawadi Ya Pande La Dhahabu.

Kutokana Na Zawadi Hiyo, Baadhi Ya Wanasiasa Akiwamo Mwenyekiti Wa TLP, Augustine Mrema, Walitaka Dhahabu Hiyo Irudishwe Na Kuuzwa Ili Fedha Zake Zisaidie Kutatua Matatizo Ya Wananchi.

Pia Kitendo Hicho Cha Mkapa, Kilizua Mjadala Mkali Katika Shirika La Utangazaji Nchini Uingereza (BBC).
 
Rais Kikwete Alikataa Kupokea Zawadi Ya Dhahabu Kutoka Kwa Kampuni Ya Nyamigogo (GVH) Ya Mkoani Geita Gramu 227 Ikiwa Na Thamani Ya Tsh. 16 Milioni Katika Soko La Dunia Kwa Wakati Huo Mwaka 2013. Dkt. Kikwete Aliagiza Dhahabu Hiyo Iuzwe Na Fedha Zake Zisaidie Watoto Yatima.
Taarifa Ya Ikulu Ya Novemba 11, 2013 Ilisema.

Wakati Kikwete Akifanya Hivyo, Rais Mkapa Akizindua Mgodi Wa Dhahabu Wa Golden Pride, Nzega Mkoani Tabora Uliokuwa Unamilikiwa Na Kampuni Ya Resoluted Mining Limited Ya Australia Februari 7, 1999 Alikubali Kupokea Zawadi Ya Pande La Dhahabu.

Kutokana Na Zawadi Hiyo, Baadhi Ya Wanasiasa Akiwamo Mwenyekiti Wa TLP, Augustine Mrema, Walitaka Dhahabu Hiyo Irudishwe Na Kuuzwa Ili Fedha Zake Zisaidie Kutatua Matatizo Ya Wananchi.

Pia Kitendo Hicho Cha Mkapa, Kilizua Mjadala Mkali Katika Shirika La Utangazaji Nchini Uingereza (BBC).
Gusia na lile koleo la Almas lililo tolewa pale Kwa Petra Williamson Mwadui kati ya mwaka 2006-2008 kati ya Hao wawili!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Kikwete Alikataa Kupokea Zawadi Ya Dhahabu Kutoka Kwa Kampuni Ya Nyamigogo (GVH) Ya Mkoani Geita Gramu 227 Ikiwa Na Thamani Ya Tsh. 16 Milioni Katika Soko La Dunia Kwa Wakati Huo Mwaka 2013. Dkt. Kikwete Aliagiza Dhahabu Hiyo Iuzwe Na Fedha Zake Zisaidie Watoto Yatima.
Taarifa Ya Ikulu Ya Novemba 11, 2013 Ilisema.

Wakati Kikwete Akifanya Hivyo, Rais Mkapa Akizindua Mgodi Wa Dhahabu Wa Golden Pride, Nzega Mkoani Tabora Uliokuwa Unamilikiwa Na Kampuni Ya Resoluted Mining Limited Ya Australia Februari 7, 1999 Alikubali Kupokea Zawadi Ya Pande La Dhahabu.

Kutokana Na Zawadi Hiyo, Baadhi Ya Wanasiasa Akiwamo Mwenyekiti Wa TLP, Augustine Mrema, Walitaka Dhahabu Hiyo Irudishwe Na Kuuzwa Ili Fedha Zake Zisaidie Kutatua Matatizo Ya Wananchi.

Pia Kitendo Hicho Cha Mkapa, Kilizua Mjadala Mkali Katika Shirika La Utangazaji Nchini Uingereza (BBC).
Nionavyo mimi kupokea zawadi haswa kwenye mazingira ya wazi si tatizo inategemea na aina na madhumuni ya zawadi
 
Back
Top Bottom