Mkandarasi wa ujenzi wa SGR Tanzania, Yapi Merkezi adaiwa kuwa na hali ngumu kiuchumi

IPTL

JF-Expert Member
May 12, 2014
226
172
Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo.

Hadi sasa imefikia miezi saba bila Wakandarasi hao kupata malipo yao huku Wazabuni hao wakilalamika kwamba kutokana Makadarasi hiyo kushindwa kuwalipa na wao wanashindwa kuwalipa Wafanyakazi wao ambao ni waendasha mitambo kama Escavetor, madereva wa malori, mabasi nk. Hali kadhalika Wazabuni hao pia wamedai kwamba wanashindwa kuwasilisha na kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na kutokupwa.

Wazabuni hao wameendelea kudai kwamba wamefanya juhudi mbalimbali za kukutana na Uongozi wa Yapi Merkez lakini hawajafanikiwa kutokana na uongozi huo kutoa visingizio vya COVID 19. Hata hivyo baadhi ya wazabuni wamedai wamefikisha malalamiko yao kwa Shirika la Reli nchini (TRC) lakini hadi sasa hawajapata ufumbuzi wowote wa malipo yao.

Kutokana na hali hiyo Wafanyakazi YAPI MERKEZ nao mwezi huu wa Saba watalipwa mshahara nusu.
 

Attachments

  • PHOTO-2020-07-28-22-41-41.jpg
    PHOTO-2020-07-28-22-41-41.jpg
    48.5 KB · Views: 25
Hali ya Mkandarasi YAPI MERKEZ ya Uturuki ambaye anajenga reli ya SGR si shwari hata kidogo kwa maana ameishiwa fedha na kushindwa kuwalipa Wazabuni wanaotoa huduma katika mradi huo. Wazabuni ni pamoja na wanatoa ya magari, Mashine na vifaa mbalimbali ya kujengea reli hiyo.

Hadi sasa imefikia miezi saba bila Wakandarasi hao kupata malipo yao huku Wazabuni hao wakilalamika kwamba kutokana Makadarasi hiyo kushindwa kuwalipa na wao wanashindwa kuwalipa Wafanyakazi wao ambao ni waendasha mitambo kama Escavetor, madereva wa malori, mabasi nk. Hali kadhalika Wazabuni hao pia wamedai kwamba wanashindwa kuwasilisha na kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na kutokupwa.

Wazabuni hao wameendelea kudai kwamba wamefanya juhudi mbalimbali za kukutana na Uongozi wa Yapi Merkez lakini hawajafanikiwa kutokana na uongozi huo kutoa visingizio vya COVID 19. Hata hivyo baadhi ya wazabuni wamedai wamefikisha malalamiko yao kwa Shirika la Reli nchini (TRC) lakini hadi sasa hawajapata ufumbuzi wowote wa malipo yao.

Kutokana na hali hiyo Wafanyakazi YAPI MERKEZ nao mwezi huu wa Saba watalipwa mshahara nusu.
Kama umeshawahi kujenga hata banda la kuku, utajua ujenzi si lele mama na mafundi sio watu. Wana roho kama za wale wajumbe wa CCM.
 
Kipande kidogo tu SGR Reli cha Dar - Moro serikali ya awamu ya tano chali? Wakati tunaambiwa serikali ya nchi hii Tanzania sasa ni tajiri haijawahi kutokea tangu uhuru !

DAR ES SALAAM - MOROGORO RAILWAY

Yapı Merkezi is constructing the fastest railway in East Africa. The first phase of the 1,224 km total line, the 202 km long Dar Es Salaam - Morogoro Railway Project, is the most critical part of the project. When the 5-part line is completed, it will connect Uganda, Rwanda, Democratic Republic of Congo and Tanzania, and provide access to the Indian Ocean for all related countries.

The groundbreaking ceremony took place on on April 12, 2017 at Pugu with the participation of HE Dr. John Pombe Joseph Magufuli as President and Commander in Chief of the Armed Forces of the United Republic of Tanzania, Hon. Prof. Makame Mbarawa as Minister of Works, Transport and Communication, Mr. Yunus Belet as acting Ambassador of Republic of Turkey in Dar Es Salaam, Mr. Erdem Arıoğlu as Vice Chairman of Yapı Merkezi, Mr. Özge Arıoğlu as CEO of Yapı Merkezi, Mr. Emre Aykar as Yapı Merkezi Board Member and , Mr. Abdullah Kılıç as Yapı Merkezi East Africa Regional Manager.

All works pertaining to design, manufacture, assembly and operation startup of track superstructure, electrification, signaling, telecommunication, central control systems are being carried out by Yapı Merkezi.
202 km-long single line will be constructed at a design speed of 160 km / h between Dar Es Salaam and Morogoro. During the 30-month project, a total of 33 million cubic meters of excavation work will be undertaken; 96 pieces of 6,500 meter-long bridge and overpasses, 460 culverts, 6 stations and repair and maintenance workshops will be constructed ....
READ more : Dar Es Salaam - Morogoro RAILWAY
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ila hamna mradi watu wamekula pesa awamu hii kama huu, Ngoja tuone mwisho wake.







Let's meet at the top, cheers 🥂
Hata kama wamekula at least mradi unaonekana kuliko awamu ile watu wamekula mamilioni ya fesha za bunge la katiba nasa wale wa mipasho na ule mradi wa Sulivan toka USA tukadanganywa ni wawekezaji hakurudi hata mmoja kuja kufungua japo mradi wa chipsi mayai
 
Hata kama wamekula at least mradi unaonekana kuliko awamu ile watu wamekula mamilioni ya fedha za bunge la katiba nasa wale wa mipasho na ule mradi wa Sulivan toka USA tukadanganywa ni wawekezaji hakurudi hata mmoja kuja kufungua japo mradi wa chipsi mayai
 
Back
Top Bottom