HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
tunakupongeza kwa kazi nzuri uliyofanya ila kumbuka hii bara bara iliharibiwa na maji hivyo sehemu kubwa ikabaki korongo tatizo lipo hapa umesawazisha bara bara imeonekana ila hujaweka mfumo wa maji utakapopita ,pili vifusi umeweka mbona hujashindilia na hii ni barabara ni changa .la msingi kabsa ni maji sehemu kubwa ulipopitishia barabara ni sehemu ya maji na kuna uwezekano mkubwa wa kuleta mafuriko kwenye kaya za watu diwani anafahamu hapo vizuri .katamboi huyu ni diwani wa eneo husika chukua tahadhari sasa