Mkuu usimamizi wa ujenzi wa barabara katika mkoa mwanza ni wa hovyo kabisa. ukitoka shinyanga barabara yao ni smooth sana. Ukifika tu kwenye mpaka unaingia mkoa wa mwanza , barabara yao ni ya kiwango cha chini sana utafikiri umeingia nchi jirani.Hauna haja ya kujua kama umeingia mkoa mwanza kwa kujisumbua kusoma vibao, utasikia mtikisiko wa gari. ni kama barabara ya vumbi tu. Pia Ukitoka ukitoka mwanza kuelekea mara, ukishapita nyanguge tena unakutana barabara mbovu na hovyo hadi lamadi unapokutana na barabara nzuri kwa upande wa mkoa wa MaraHii kampuni ya hovyo sana ushaona wapi barabara ya lami bodaboda ikifunga breki inabanduka! Barabara hata Bajaj haziruhusiwi kupita mambo ya hovyo kabisa
Unachosema Ni kweli tupu ipo haja yakuwafukuza wabunge wote wa mwanza, hata ukivuka Geita barabara za Geita Kagera Ni nzuri, sijui Mwanza Kuna shida gani?Mkuu usimamizi wa ujenzi wa barabara katika mkoa mwanza ni wa hovyo kabisa. ukitoka shinyanga barabara yao ni smooth sana. Ukifika tu kwenye mpaka unaingia mkoa wa mwanza , barabara yao ni ya kiwango cha chini sana utafikiri umeingia nchi jirani.Hauna haja ya kujua kama umeingia mkoa mwanza kwa kujisumbua kusoma vibao, utasikia mtikisiko wa gari. ni kama barabara ya vumbi tu. Pia Ukitoka ukitoka mwanza kuelekea mara, ukishapita nyanguge tena unakutana barabara mbovu na hovyo hadi lamadi unapokutana na barabara nzuri kwa upande wa mkoa wa Mara
Yaani najiuliza maswali mengi sana kuhusu hawa viongozi wa mwanza, eti linaitwa jijiUnachosema Ni kweli tupu ipo haja yakuwafukuza wabunge wote wa mwanza, hata ukivuka Geita barabara za Geita Kagera Ni nzuri, sijui Mwanza Kuna shida gani?
Tatizo letu Ni gachuma aliyemshawishi nyanza road amuuzie share mswahili Fulani, ona pale bundilya na nyamikoma mambo yakipumbavu tu yanaendelea paleYaani najiuliza maswali mengi sana kuhusu hawa viongozi wa mwanza, eti linaitwa jiji