Kutokana na migogoro ya mara kwa mara inayotokwea chuo kikuu cha Dar es salaam nimefanya uchunguzi na kuongea na makundi mbalimbali ya wanafunzi walimu na wafanyakazi ambao kiujumla wanaelekeza lawama kwa Prof Mkandala kwamba anaendesha chuo kibabe, amejaa dharau na kiburi na pia ni mkabila,niliamua kufanya uchunguzi huu baada ya kuona siku moja kwenye kipindi cha jennerali on mondayvijana walipokuwa wanaongelea jinsi management inavyoingilia maswala ya wanafunzi na kusababisha matatizo. kilichoyokea ni kwamba Mkandala alipiga simu na kuomba waitwe wao pia, na generali akamjibu ile sio Jerry Springle show?? Kwa kweli nilistaajabu sana jinsi Prof anayojishushia heshima badala ya kusolve matatizo anataka aitwe kenye tv kubishana na kujibizana na wanafunzi. Kutokana na maoni ya wengi wanaona hawezi kuendesha chuo hata mimi naunga mkono, wenzangu nyie mnaonaje kwa maoni yenu? AENDEEEEEEEEEEEEE?
Kutokana na migogoro ya mara kwa mara inayotokwea chuo kikuu cha Dar es salaam nimefanya uchunguzi na kuongea na makundi mbalimbali ya wanafunzi walimu na wafanyakazi ambao kiujumla wanaelekeza lawama kwa Prof Mkandala kwamba anaendesha chuo kibabe, amejaa dharau na kiburi na pia ni mkabila,niliamua kufanya uchunguzi huu baada ya kuona siku moja kwenye kipindi cha jennerali on mondayvijana walipokuwa wanaongelea jinsi management inavyoingilia maswala ya wanafunzi na kusababisha matatizo. kilichoyokea ni kwamba Mkandala alipiga simu na kuomba waitwe wao pia, na generali akamjibu ile sio Jerry Springle show?? Kwa kweli nilistaajabu sana jinsi Prof anayojishushia heshima badala ya kusolve matatizo anataka aitwe kenye tv kubishana na kujibizana na wanafunzi. Kutokana na maoni ya wengi wanaona hawezi kuendesha chuo hata mimi naunga mkono, wenzangu nyie mnaonaje kwa maoni yenu? AENDEEEEEEEEEEEEE?
Kama aliomba kutoa his side of the story na hakupewa aurtime than that is wrong and against all kinds of journalistic ethics. A story is incomplete until the other side is given a chance to air its version.
Kama aliomba kutoa his side of the story na hakupewa aurtime than that is wrong and against all kinds of journalistic ethics. A story is incomplete until the other side is given a chance to air its version.
Mkandala ana kiburi, dharau,ukabila. ni mtu ambae hataki kufanya suluhu, ila anapendelea zaidi kukomoa na kushindana na wanafunzi ambao hata hawana degree wakati yeye ni profesa. hivi baba anaweza kuwa anawakomoa watoto wake, si yeye angekuwa na uelewa mkubwa zaidi? mukandala anatakiwa kuwa na uelewa mkubwa kuliko wanafunzi watoto wale. asifanye kama kuwakomoa, awasaidie.hata kama wamekosea, ajue tz bila wasomi wa kesho itahangaika. hivyo badala ya kufurahia kufukuza wanafunzi, ni bora angafanya kitu watu tuone yeye ni wa tofauti na wanafunzi. kukomoana na madent inaonyesha yeye ana akili sawa tu na za watoto wa shule ambao hawana hata degree bado. alitakiwa kufanya suluhu,diplomacy. siku zote profesa huyo amesifika kwa ukatili,kukomoa na kiburi. hata alipokuwa anafundisha. hakuna asiyemjua. ilipofika kuwa yeye ni swahiba wa JK tangu kipindi kile cha uchaguzi, basi tena. anajiona yeye ndo mtu wa ikulu. mimi nilishamaliza hapo chuo mda. bora hata luhanga alikuwa mtu. huyo hapo hafai. anaharibu chuo. yeye na Jumanne magimbi wake, hawana mawazo ya kiuprofesa.
kilichokuwa kinatakiwa ni kukaa na wanafunzi kujadili na kufikia suluhisho ili kila mtu dukuduku liishe moyoni. kitendo cha yeye kuwafukuza wanafunzi na kuonyesha jeuri, sawa, wanafunzi wameacha fujo, lakini dukuduku liko moyoni. nidham ya uoga hiyo. siku likija kulipuka, mzigo uko palepale. dukuduku likikaa moyoni huzaa mengi. ndo maana watu hufikia hata kiwango cha kujitoa muhanga. kwasababu walikuwa na dukuduku moyoni mda. sasa yeye anafikiri wanafunzi wa udsm ni vichanga kwamba hawajui kwanini wanaandamana?hivi yeye anafikiri nguvu hufanya suluhisho?nasikitika sana.
Kutokana na migogoro ya mara kwa mara inayotokwea chuo kikuu cha Dar es salaam nimefanya uchunguzi na kuongea na makundi mbalimbali ya wanafunzi walimu na wafanyakazi ambao kiujumla wanaelekeza lawama kwa Prof Mkandala kwamba anaendesha chuo kibabe, amejaa dharau na kiburi na pia ni mkabila,niliamua kufanya uchunguzi huu baada ya kuona siku moja kwenye kipindi cha jennerali on mondayvijana walipokuwa wanaongelea jinsi management inavyoingilia maswala ya wanafunzi na kusababisha matatizo. kilichoyokea ni kwamba Mkandala alipiga simu na kuomba waitwe wao pia, na generali akamjibu ile sio Jerry Springle show?? Kwa kweli nilistaajabu sana jinsi Prof anayojishushia heshima badala ya kusolve matatizo anataka aitwe kenye tv kubishana na kujibizana na wanafunzi. Kutokana na maoni ya wengi wanaona hawezi kuendesha chuo hata mimi naunga mkono, wenzangu nyie mnaonaje kwa maoni yenu? AENDEEEEEEEEEEEEE?
na sikia kuwa sio kwamba rais aliamuka tu na kutangaza jina la VC. aripigiwa kura mbona nasikia hapo chuo, then wanapeleka majina 2 kwa JK kuchukua moja, sijui kama irikuwa kula ya wazi na alifanya kampeni au irikuwaje
Tulia upewe siri ambayo inaelekea huijui hata kidogo..!!
Kwa madai ya wadau wa ndani, selection ya VC ilifanywa na kampuni moja inayoitwa Deloitte. Katika selection hiyo, jamaa alipigwa chini..!! Na ndipo selection ikarudiwa..!! Una habari hiyoo..!! ..??
Fanya uchunguzi..!! Na kama nimedanganywa, unifafanulie..!!
Mura Zingatia matumizi ya R na L