Kutokana na migogoro ya mara kwa mara inayotokwea chuo kikuu cha Dar es salaam nimefanya uchunguzi na kuongea na makundi mbalimbali ya wanafunzi walimu na wafanyakazi ambao kiujumla wanaelekeza lawama kwa Prof Mkandala kwamba anaendesha chuo kibabe, amejaa dharau na kiburi na pia ni mkabila,niliamua kufanya uchunguzi huu baada ya kuona siku moja kwenye kipindi cha jennerali on mondayvijana walipokuwa wanaongelea jinsi management inavyoingilia maswala ya wanafunzi na kusababisha matatizo. kilichoyokea ni kwamba Mkandala alipiga simu na kuomba waitwe wao pia, na generali akamjibu ile sio Jerry Springle show?? Kwa kweli nilistaajabu sana jinsi Prof anayojishushia heshima badala ya kusolve matatizo anataka aitwe kenye tv kubishana na kujibizana na wanafunzi. Kutokana na maoni ya wengi wanaona hawezi kuendesha chuo hata mimi naunga mkono, wenzangu nyie mnaonaje kwa maoni yenu? AENDEEEEEEEEEEEEE?