Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Katika maeneo ya parking za zamani za billicanas bills mkamua miwa kwa machine special amepatwa na janga kiganja chake cha mkono kuvutwa na kunasa kama pichani hapo inavyoonyesha.. tarehe 12th August 2017..
Tuwe makini na vijana tunaowaajiri sio kuwatoa shamba na kuwaleta town tu na kuwapa kazi wasizozielewa... pole sana kijana hadi naondoka eneo la Tukio wadau walikuwa wanasaidia kuikata machine kwa msumeno...
Tuwe makini na vijana tunaowaajiri sio kuwatoa shamba na kuwaleta town tu na kuwapa kazi wasizozielewa... pole sana kijana hadi naondoka eneo la Tukio wadau walikuwa wanasaidia kuikata machine kwa msumeno...