Mkali wa kutunga

Mkali wa kutunga

mkali G

Member
Joined
Sep 2, 2015
Posts
61
Reaction score
5
Nani huku nkali wakuandika nyinbo nzuri anisaidie niadikia nyinbo kali
 
Mmmh hya kaka ila kma atae nisaidia for 1 track i wll b gld
 
Nipe mada mim nipo nikupe michano ihusu ngada machafuko ama muungano tizii iwe ndo mfano isiisifie ngano ijenge si kubomoa....Loading...
 
Mkali G suala la kuandika linakusumbua kidoge et,au mambo ya smart haya
 
Nipe mada mim nipo nikupe michano ihusu ngada machafuko ama muungano tizii iwe ndo mfano isiisifie ngano ijenge si kubomoa....Loading...


Shusha kwanza freestyle mada ikiwa ni "Gesi ya mtwara" tuone uwezo
 
Mkuu mshana tuonjeshe utenzi wako kidogo tuone uwezo na ubunifu wako....
Wataiba hapa ila subiri nijiweke sawa
Lakini pokea hii kidogo

Alaha za mujubali
Utam wa shokshoki
Ladha yake steki tupu
Kijiba cha mjuba mrija wake koroboi
Kibaba chake nusu na robo

Chorus: waitakaa waipendaa
Utaiwezaa!chukua lakini kumbuka wembe haulambwi....× 2
 
Wataiba hapa ila subiri nijiweke sawa
Lakini pokea hii kidogo

Alaha za mujubali
Utam wa shokshoki
Ladha yake steki tupu
Kijiba cha mjuba mrija wake koroboi
Kibaba chake nusu na robo

Chorus: waitakaa waipendaa
Utaiwezaa!chukua lakini kumbuka wembe haulambwi....× 2



Hahahaha mkuu umenichekeshaaa

Mashairi mazuri ila sijaelewa kama rnb pop zouk au naona kama taarabu pia
 
Hahahaha mkuu umenichekeshaaa

Mashairi mazuri ila sijaelewa kama rnb pop zouk au naona kama taarabu pia
Mahadhi ya pwani lakini sio taarab mapigo yake kama nyimbo za kimanyema Ulishawahi kuisikia GERE MAMA?
 
Back
Top Bottom