12STONE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 1,190
- 409
Kwa sasa team Lowassa haisumbuliwi tena na watu aina ya Membe walipofikia wanamudu kazi yao ya kuhakikisha Mtu wao anashinda kwa kishindo cha sunammi ndani na nje ya chama
Imebainika kutoka kwa wasiri wa ndani ya team Lowassa kuwa hata hao akina MWIGULU CHEMBA na LAZARO NYALANDU hao vijana waaminifu kupita maelezo kwa Mh.EDWARD NGOYAI LOWASSA.
Usishangae kuwaona vijana hao ni kama kila mtu yuko lwake na hana habari na EDDO,Kumbe ni damu damu na mzee wa MAAMUZI MAGUMU.
Dakika,masaa,siku na miezi inayoyoma kuelekea uchaguzi wa ndani CCM utajaona wengi wakisema "KUANZIA LEO MIMI NAMUUNGA MKONO MH.SAANA EDWARD N.LOWASSA.Hio itafanyika dakika za mwisho kabla siku za uchaguzi huo kufanyika ndani ya chama tawala.
MOSI,
Lengo ni kuvunja nguvu za Mkuu wa Kaya asiweze kupindisha maamuzi na kuteua mtu mwingine.
MBILI,
Imekusudiwa kutokea wakati huo ili kama kuna masalio ya WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO wajichokee na kukata tamaa zaidi hasa kwa kuona ushawishi,nguvu na uungwaji mkono wa LAIGWANAN haviwezi kuzuiliwa na awaye yote iwe kwa UTEUZI ama UCHAGUZI ndani NEC CCM.
Sio hivyo tu hata baada ya uchaguzi mkuu ujao inaonyesha LAIGWANAN amejipanga vizuri zaidi kuliko KADA awaye yote wa CCM.Nimedokezwa yuko tayari kufanya kaxi na watu makini,wachapa kazi wasiocheka na Nyani huku shamba la Mahindi linaisha na kubakiwa na Mabua matupu.
Mipango ya inavuka mipaka ya vyama na kuweka mbele maslahi ya TAIFA letu.Huyu mtu niJASIRI SANA, alisikika mmoja wa wana TEAM LOWASSA akisema.
Msije mkashangaa hata hao watu wazuri walioko UPINZANI NAO WAKAWEKWA kwenye baadhi ya Nafasi za Uongozi ili kujenga TAIFA hili kwenye Ustawi wa
KIUCHUMI
KIAFYA
KIELIMU
Akilenga kila MWANANCHI lazima afaidi ama ale mema ya Nchi yake mwenyewe.
Tumeshuhudia wabunge MIA NA HAMSINI (150)CCM, Waliojitokeza wazi wazi bila kificho na kusema KWA RAIS AJAYE LOWASSA NDIYO CHAGUO SAHIHI NA HALALI ndani na nje ya CCM.
Hayo mliyoyaona kama ni Mvua basi hio ni manyunyu/rasharasha tu,Sunammi inakuja Vigogo wengi kila Wizara na Idara wanamuunga mkono LOWASSA.
HAKUNA SIKU HATA MOJA LAIGWAN E.N.LOWASSA ATAKWAMISHWA,AMEJIPANGA IPASAVYO.
Hapo nimewapa kionjo tu.
NGOMA INOGILE.
Imebainika kutoka kwa wasiri wa ndani ya team Lowassa kuwa hata hao akina MWIGULU CHEMBA na LAZARO NYALANDU hao vijana waaminifu kupita maelezo kwa Mh.EDWARD NGOYAI LOWASSA.
Usishangae kuwaona vijana hao ni kama kila mtu yuko lwake na hana habari na EDDO,Kumbe ni damu damu na mzee wa MAAMUZI MAGUMU.
Dakika,masaa,siku na miezi inayoyoma kuelekea uchaguzi wa ndani CCM utajaona wengi wakisema "KUANZIA LEO MIMI NAMUUNGA MKONO MH.SAANA EDWARD N.LOWASSA.Hio itafanyika dakika za mwisho kabla siku za uchaguzi huo kufanyika ndani ya chama tawala.
MOSI,
Lengo ni kuvunja nguvu za Mkuu wa Kaya asiweze kupindisha maamuzi na kuteua mtu mwingine.
MBILI,
Imekusudiwa kutokea wakati huo ili kama kuna masalio ya WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO wajichokee na kukata tamaa zaidi hasa kwa kuona ushawishi,nguvu na uungwaji mkono wa LAIGWANAN haviwezi kuzuiliwa na awaye yote iwe kwa UTEUZI ama UCHAGUZI ndani NEC CCM.
Sio hivyo tu hata baada ya uchaguzi mkuu ujao inaonyesha LAIGWANAN amejipanga vizuri zaidi kuliko KADA awaye yote wa CCM.Nimedokezwa yuko tayari kufanya kaxi na watu makini,wachapa kazi wasiocheka na Nyani huku shamba la Mahindi linaisha na kubakiwa na Mabua matupu.
Mipango ya inavuka mipaka ya vyama na kuweka mbele maslahi ya TAIFA letu.Huyu mtu niJASIRI SANA, alisikika mmoja wa wana TEAM LOWASSA akisema.
Msije mkashangaa hata hao watu wazuri walioko UPINZANI NAO WAKAWEKWA kwenye baadhi ya Nafasi za Uongozi ili kujenga TAIFA hili kwenye Ustawi wa
KIUCHUMI
KIAFYA
KIELIMU
Akilenga kila MWANANCHI lazima afaidi ama ale mema ya Nchi yake mwenyewe.
Tumeshuhudia wabunge MIA NA HAMSINI (150)CCM, Waliojitokeza wazi wazi bila kificho na kusema KWA RAIS AJAYE LOWASSA NDIYO CHAGUO SAHIHI NA HALALI ndani na nje ya CCM.
Hayo mliyoyaona kama ni Mvua basi hio ni manyunyu/rasharasha tu,Sunammi inakuja Vigogo wengi kila Wizara na Idara wanamuunga mkono LOWASSA.
HAKUNA SIKU HATA MOJA LAIGWAN E.N.LOWASSA ATAKWAMISHWA,AMEJIPANGA IPASAVYO.
Hapo nimewapa kionjo tu.
NGOMA INOGILE.