- Thread starter
- #61
Safi sana Mwigulu,endelea hivyohivyo!
Mchochee aendelee,kama hatauwawa,wanyiramba hawapo tayari kuburuzwa.
Safi sana Mwigulu,endelea hivyohivyo!
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya chama cha mapinduzi wilayani Iramba,zinabainisha kuwa,kuna mkakati mkubwa sana unaoratibiwa na mbunge wa Iramba ndugu Mwigulu Nchemba,wa kuhakikisha CHADEMA inapotea kwenye ulingo wa kisiasa wilayani Iramba.
Mkakati huo ambao tayari umefichuliwa na mmoja wa kiongozi mwandamizi wa CCM Iramba,baada ya kukerwa na mbinu hiyo haramu isiyo na maslahi kwa wananchi,unawahusisha baadhi ya viongozi wa CHADEMA Iramba wenye njaa kali,na ambao wamekuwa wakipinga maamuzi ya cc ya kuwavua nyadhifa zao,dk. Kitila na ZZK.
Kazi ya kwanza ni kuhakikisha ofisi za CHADEMA za wilaya zilizoko katikati ya mji wa kiomboi zinafungwa.
Pili ni kuwatumia viongozi wenye mrengo wa TEAM USALITI,kuanzisha mgogoro wa kiungozi,mmoja wa viongozi hao ni mwenyekiti wa kata ya Ndago.
Mtonyaji wetu toka ndani ya CCM anasema mwenyekiti huyu wa ndago amekuwa akilinda chama kwa kuwafukuza Zitto na Kitila,na amekuwa kinara wa migogoro wilayani Iramba.Viongozi hao wanalipwa fedha na Mwigulu.
source: Uchunguzi binafsi.
huko ni kutapatapa tuuu, ZZK amefkaje iramba ama imebaki anayekosoa n team usaliti? huko n kuishiwa sera. Polen sana kama mnadhan ninyi n malaika!!!!
so whats wrong with that?
Hana ubavu huo ujue IRAMBA ni ya wasomi, juzi niliteta na vijana kutoka kijiji cha Mwigulu (MAKUNDA) na vijiji jirani kama Kyengege, Kinampanda na Ulemo wakaniambia kuwa Mwigulu alikuwa akitoa fedha ili vijana wachane bendera za CHADEMA lakini kila alipofanya hivyo bendera za CDM zikazidi kuota kama Uyoga. katika kata anayotoka tu ameshindwa kusaidia katika utatuzi wa maji na wananchi wa Kijiji chake ndio wahanga namba moja wa adha hiyo achilia mbali jimbo zima la Iramba na maeneo kama Mtoa, Urughu, mtekente, Dolomoni, Kinalilya, Kisiriri, Ruruma n.k.
inaonekana hatahao wanaonekana wako tayari kununuliwa ila kwa makamanda wanao jitabuwa ni kazi sana kuuwa chama
Yusuph Jr. achana na habariyamujini ni mzee wa Lumumba kwake maisha ni kupokea bk7 sisi tunaotoka noni yalila, yalagano, kibigiri, muntabidyede, uwanza na hata makunda nyumbani kwa Mwigulu twajua ari ya vijana juu ya Chadema na jinsi wasivyomkubali Mwigulu we subiri 2014 mwishoni ataziona hizo bendera atabloo mapigo na mwisho atazimia atakapoambiwa aliyekuwa naibu waziri wa fedha naye kaangukia pua.
Wewe acha kuleta hisia binafsi humu janvini, sisi wana Iramba hakuna kitu Kama hicho, post za uongo wa kishamba Kama wako wapelekee akina Lema na Mbowe wenye Elimu finyu watakuunga mkono, Msomi kama Mwigulu Nchema tena Waziri hawezi kujishughulisha NA SACOSS .