Unaposema watachukua fomu za ubunge za tume halafu wakae nazo na wajitoe saa moja kabla muda wa kuzirudisha basi ujue kwa muda huo uliobaki haiwezekani mtu mwingine achukue form upya kwa kuwa muda hautaruhusu. Ila wakijitoa itakua faida kwa wale au yule aliebakia.
Mkuu, mkakati huwa ni siri ya ushindi. Hiyo habari ikifika hapa JFs siyo siri tena.
Shaka langu, Je UKAWA watautumia tena?
Ccm punguzeni uoga Nape kawaambia hana nguvu sasa mnaogopa nini?
Mbona mbinu yao ya kuwasainisha mikataba wagombea wao ilivuja hapa hapa?
mkuu CCM ni taasisi yenye nguvu ni Zaidi ya Nape kama unabisha waulize UKAWA kwa nini wameungana dhidi ya chama kimoja tu wao wako 6?
Shughuli inogile!!!? hapo patamu.
Nyoka akikuuma mguuni atapafunga, akiuma kichwa utafunga wapi??!
duuhh sasa hivi anapakaziwa?