Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA


Ni nini anachotaka ku-achieve kutumia mabavu kuwa rais? Kuna ajenda gani aliyonayo mpaka useme hayo maneno kwenye red hapo juu?
 
Last edited by a moderator:

Lowassa ndo huyu hawezi hata kukimbia mitaa 100
 
Kama motoni watu wanagombea uraisi tutaenda nae hakuna tatizo. Tunachotaka ni yeye kuwa raisi baasi

endeleeni kumpa moyo 2015 siyo huyu lowasa asiposhinda uraisi sijui mtakula wapi
 
endeleeni kumpa moyo 2015 siyo huyu lowasa asiposhinda uraisi sijui mtakula wapi

Jiulize kabla hajatangaza nia ya uraisi tulikua tunakula wapi. Kuna watu akili zenu sijui zinawaza nini mnaamini kila anaemkubali lowassa anapewa hela.
 

Sikiliza wewe FISI, mimi sio ukawa wala sisiemu. Nachotaka ni rais bora, sasa mnyonya mapvmbu ya EL kama wewe unakuja na upumbafu eti EL for presidency, unahitajika kupelekwa mirembe, kwamba hujui EL ni worse than JK??

Kuona hili hauhitaji kuwa na certificate, diploma au shahada zingine. Wala hauhitaji hesabu au science nyingine kujua kuwa hafai, haiwezekani anatumia pesa nyingi hivi kutaka kuwa rais. Na kwa taarifa yako, huyu hata sisiemu hakatizi. Mtamremba sana na kukisi mapvumbu yake, ila hamna kitu. Sidhani kama sisiemu ni wapumbavu kama wewe na team yako.
 
Kwani uraisi ni riadha mkuu? Kukimbia ni uamuzi binafsi wa mtu hauhusiani na mtu kuwa raisi

kukwagua gwaride hataweza .Lowasa akishinda uraisi ntatembea uchi dar-moro
 

Umepaniki mkuu kwahiyo unataka tunyonye yako na siyo ya lowassa? Unataka tuamini mgombea unaemtaka wewe unamnyonya di@#k ndo maana unamsupport? Lowassa anaweza kuwa more worse tha JK lakini mbona hujawahi kujiuliza kwanini Lowassa hakuwajibishwa kwa kashfa ya Richmond wala hakupewa nafasi ya kujitetea? Usipende kuchukulia vitu juu juu mkuu sababu umeshapandikizwa chuki moyoni mwako
 
Jiulize kabla hajatangaza nia ya uraisi tulikua tunakula wapi. Kuna watu akili zenu sijui zinawaza nini mnaamini kila anaemkubali lowassa anapewa hela.

Wenye kuwania urais kupitia sisiemu na wanaokubalika wapo kimya, nashangaa nyie mapovu kila siku. Huyo ni mwizi, na silaha ambayo upinzani wataitumia dhidi yake ni Richmond. Tambua watz si wajinga kama wewe na team yako mnavyodhani.
 
hukumwona JK akiwa anafanya mazoezi ya kukimbia huyu Lowasa amechoka sana

Kuchoka huko kwa Lowassa ni kupi sasa? Jk alikua anakimbia ajiweke fit ila Lowassa is fit enough hahitaji show off akiwa anakimbia sawa?
 
Wenye kuwania urais kupitia sisiemu na wanaokubalika wapo kimya, nashangaa nyie mapovu kila siku. Huyo ni mwizi, na silaha ambayo upinzani wataitumia dhidi yake ni Richmond. Tambua watz si wajinga kama wewe na team yako mnavyodhani.

Labda kama baba yako ndo mgombea anaekubalika ila so far Lowassa ndo matumaini kwa watanzania. Sisi wajinga ila ujinga wetu sio kama wako na team yako mnaokaa kimya eti hamtaki kujulikana what the hell is that?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…