Mkaa VS Gesi

Unaishi wapi?
Tuanzie hapo kwanza
 
Wazo zuri sana. Inatakiwa wasambazaji waone fursa hii.
 
Gesi no rahisi lakini tusisahau economics of scale. Maskini hawezi kununua jiko na mtungi mara moja. Pili kununua mtungi 50,000 taslimu hawezi.
Anamudu kipimo cha mkaa Kila siku japo jumla yake ni kubwa sana kwa mwezi kuliko 50,000 ya gesi.
 
Duuh, kuna watu mnafurahia maisha. Huku daslam mkaa wa buku bee ni wa kiduwanzi balaa. Yani kwangu mimi naona gesi ni mkombozi. Ila balaa ikiisha na pesa huna
Kg ya gesi kwangu natumia mwaka1
Gunia la 15.000 siku 25 linamaliza
 
View attachment 1131142
kumbe mm nilijua huoni, hayo majiko mm nimenunua 20.000/ na halikufaa kitu yalitokea Kigoma wakidaI ya USA
Nitakutumia kapicha cha jiko km hayo, nilinunua labda matumizi sikuelekezwa, wife limemshinda nataka kuliuza au scraper
Me ninalo nilipewa zawadi liko poa sana kuna mdau humu ana yauza laki 1 bei ni kubwa sana
 
Me ninalo nilipewa zawadi liko poa sana kuna mdau humu ana yauza laki 1 bei ni kubwa sana
nimeifuatilia hiyo link ya Mada ya majiko
kwangu mm hayawaki hata chai hayachemshi
nimerudi kwenye umeme na gesi
 
Labda haliko sawa langu lina waka fresh
 
Hapa Nzega nanunua mkaa gunia 5000 gasi ndogo 22000.Kwa watu wa Dar na mijini gas ni rahisi.Kwangu Mimi gas ni ghali japo ipo faster.
 
Ni ufahamu tu. Lakini gesi ni rahisi sana. Ila sema haipiki maharage
Mkuu kwa hili naomba nitofautiane na wewe.
Nunua pressure cooker bana.
Harage linaoza ndani ya dk45 tu.
Ila gesi ipo juu ya mkaa kwa bei, kutegemeana na mkoa.
Nilipo mimi, gesi mtungi unaokidhi mwezi unauzwa 50,000/=.
Mkaa kutosha mwezi ni gunia mbili @15,000/= ni 30 ama 40 elfu, tofauti ni kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…