mjuzi wa flash

Umepipigwa mkuu acha kununua vitu Maeneo yasioleweka ni Risk
 
Mimi Nina issue tofauti kidogo!!
Kuna flash na memory card orginal za class 10 ila walionipa wameweka video flan hambazo hawataki zifutwe .
Sasa nimejaribu njia zote kuziformat ili nitumie kwa mambo mengine lakini hazikubali pia ukizifuta video hizo zinakuwa deleted ila ukichomoa na kuchomeka flash zinarudi.
Je teknolojia gani imetumika hapa na namna gani naweza kuufyatua huu mtego?
CC Chief-Mkwawa Joe Nyandigira Njunwa Wamavoko Mwl.RCT na expert wengineo
 
Mimi Nina issue tofauti kidogo!!
Kuna flash na memory card orginal za class 10 ila walionipa wameweka video flan hambazo hawataki zifutwe .
Sasa nimejaribu njia zote kuziformat ili nitumie kwa mambo mengine lakini hazikubali pia ukizifuta video hizo zinakuwa deleted ila ukichomoa na kuchomeka flash zinarudi.
Je teknolojia gani imetumika hapa na namna gani naweza kuufyatua huu mtego?
CC Chief-Mkwawa Joe Nyandigira Njunwa Wamavoko Mwl.RCT na expert wengineo
Mkuu umejaribu low level formatting?

Kwa namna walivyofanya inawezekana hivi.
Kuna partition ya hardware mfano ni flash ya GB 8 ndani kuna gb 4 mbili ila partiton moja tu ndio inaflashika hio nyengine huwezi kuflash walipoeka vitu vyao.

Jambo jengine hizo video toka kwa manufacture zimesetiwa ziwe read only, kitu kikiwa read only unaweza kukisoma ila huwezi kukiandika.

Mfano mzuri chukulia simu unapoformat simu vitu vyote hufutika na kuanza upya kasoro mafile yanayokuja na simu kama operating system na apps built in kama gallery, sms, calculator etc. Hivi havifutiki sababu vipo partition yake yenyewe ambayo haiguswi pindi pale formatting inapofanyika.

Manufactures wa hizi memory wanakuwa na tools za low level formating jaribu ku google HDD low level formating tools utumie hizo.
 
Back
Top Bottom