mjuzi wa flash

kingmpetu

Member
May 31, 2018
11
0
msaada flash yangu ukiweka faili kubwa kama movie haisomi inaandika file empty ila size inaongezeka, mafaili madogo ya pdf inasoma ina uwezo wa 64GB
 
Umepigwa. Tupa. Kama umenunua duka linaloeleweka na ulipewa risiti karudishe, upewe hela yako. Wala usihangaike nayo. UMEPIGWA!
 
hamna namna ya kuirepair
Nakazia kusema kua umeibiwa.

Flash za hivyo hua zina idadi fulani ya mb ikizidi haiwezi kuplay hicho kitu. Nyingi ni zile unanunua kwenye mataa au bar au KKoo unaulizwa unataka ya kawaida au original.

Kama unahisi tunakudanganya na uko tayari kubahatisha. Tafuta waya wa OTG uwe na simu yenye uwezo.
Mfano Tecno j8 kupanda juu, Tecno c5 kupanda juu au tecno h6.

Chomeka flash kwenye otg kisha chomeka OTG kwenye simu. Iformat flash ikikubali kufanya kazi bahati yako
 
Wakuu mm nina ya kwangu nikiiweka inataka niformat na nikitaka kuformat inaniambia device is protected...msaada wenu wakuu
 
Nakazia kusema kua umeibiwa.

Flash za hivyo hua zina idadi fulani ya mb ikizidi haiwezi kuplay hicho kitu. Nyingi ni zile unanunua kwenye mataa au bar au KKoo unaulizwa unataka ya kawaida au original.

Kama unahisi tunakudanganya na uko tayari kubahatisha. Tafuta waya wa OTG uwe na simu yenye uwezo.
Mfano Tecno j8 kupanda juu, Tecno c5 kupanda juu au tecno h6.

Chomeka flash kwenye otg kisha chomeka OTG kwenye simu. Iformat flash ikikubali kufanya kazi bahati yako
OTG hapo sijakuelewa mkuu
 
Kama uko na pc yako nenda kwenye sehema ya disk management iko kwnye administrative tools sehemu ya disk partition hakikisha umechomeka flash na unajua jina au herufi yake,drive letter unagalia kama ni helath partition an kama kuna unallocated memory na kama format in exfat.Halafu urejee kwa hatua inayofuata
 
Kati ya vitu ukinunua kwa ubabaishaji lazima upigwe ni electronic devices....nunua original tu mambo ya urahisi yana gharama sana
 
Back
Top Bottom