Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #21
N kama vile Majini na mashetani baadhi ya watu hawawajui.Acha woga. Bado viumbe wengi hatujawahi kuwaona.
Ni kweli lakini si unajuwa sisi wengine hatukuenda shule.Ya kawaida tu Mkuu hayo. Mbona kila siku wanasayansi wanagundua viumbe vipya. Pendelea kuangalia NAT GEO CHANNEL au Animal Planet au DISCOVERY. Utaona maajabu ya viumbe duniani.
kuruka na kupaa yote sawa Mkuuanaruka au anapaa?
Hakuna cha woga kuna baadhi ya Watu ukiwaambia kuna Viumbe wanaoitwa kwa jina Mashetaniacha uoga kijana hiyo ni kazi yake mola. tatizo unadhani viumbe wote ktk ulimwengu huu wanajulikana.
ok AsanteHakuna cha ajabu chochote, mjusi anaruka na ana mabawa cha ajabu nini?!. Jee ungewaona nyoka warukao na hawana mabawa ungesemaje?!Na Mkiambia kuwa Kuna Mashetani na Majini Mnbasema Hamjuwi Ohhhh Waislam wanafuga Majini hahahah mimi nimefanya hivyo kutaka kuwapima Watu akili zenu je mkiambia kuwa kuna Viumbe wanaoitwa Majini na Mashetani.
Wewe google "the world of strange powers" uone mambo ya ajabu ya kweli!
Kwa nini usishangazwe na vijidudu vya ukimwi ambavyo ni vidogo mno kuonekana na darubini za kawaida na vinatumaliza.
Kama huna habari kuna nyoka wanaoruka pia.[/QUOTENinajuwa Sana je unajuwa kuwa kuna Viumbe wanaoitwa Mashetani?na Majini?
mimi Sina uoga wowote ule MkuuWENGINE NAONA Mnashangaa mambo ya wanasayansi hao, wenzetu wamezekeza sana ktk utafiti. Hakuna cha mwisho wa dunia wala mdogowake mwanzo wa dunia. ondoa uoga wako
mimi nimesoma Zamani Chini ya Mti ikinyesha Mvua hakuna tena kusoma wala somo la biolojia silijuwi sisi ndio tuliokimbia umande wa Mvua.Teh teh teh. Nadhani mleta mada alikwepa somo la biolojia akiwa sekondari.
Kuna wanyama wakiwemo mamalia na reptilia, wana kawaida ya kuruka hewani. Kuruka huku ni kwa namna mbili, 'Flying' na 'gliding' Flying ni kama vile arukavyo popo na 'gliding' ni kama vile anavyofanya huyo mjusi pichani na baadhi ya jamii ya cheche (gliding squirrel). Hawa wanaruka toka sehemu moja kwenda nyingine kwa kutanua ngozi iliyo mbavuni mwao ambayo huwasaidia kuelea hewani. Ngozi hii inafanana kabisa na ile ya popo. Kuna nyoka pia wenye mfumo kama huo, sijajua wanaitwaje! Nimeeleweka nadhani
Babu kubwa nimeweka hap makusudi ili nipate kujuwa Watu upeo wao wa Elimu kuna viumbe Wengi tu Mwenyeezi Mungu alivyo viumba hatuvijuwi sisi binadamu.Mimi huyo mjusi nilimfahamu tangu nasoma biology of reptiles ya Prof Howell pale mlimani miaka 24 iliyopita
Ninawashukuru wote waliochangia hii Thread nimeona upeo wenu wa Elimu Asanteni ila mukiambiwa kuwa kuna Viumbe wanaoitwa Majjini na Mashetani kule kwenye Thread ya Mambo ya Dini na imani muamini mimi ninajuwa kila kitu ila nilitaka Watu kuwapima uwezo wao wa Elimu Mukiambia kuwa kuna Viumbe wanaoitwa Mashetani na Majjini na Ufo jamani muamini sio kubisha pasipo na kuwa na Elimu asanteni.hamna cha ajabu hapo!dunia ipo na itaendelea,timiza wajibu wako uliokuleta hapa duniani.