Mjumbe wa CCM ajiunga UKAWA

Popote panapofuka moshi lazima moto uwake.
Matokeo ya hizi sarakasi za ccm kunajisi mchakato wa maana wa katiba tutayaona very soon viashiria vinaonekana na hakika na Tanganyika kupitia JK inaingia kwenye historia mpya ya kunyonga democracy na inner meaning of rule of people by the power of people.. itajidhihiri.
 
Kessy nimoja ya wabunge wa sisiem wanaotumia akili zao binafsi.
 
Wabunge wengi wa ccm akili zao wamezikabidhi kwa mwenyekiti wao ziwekwa kwenye kibuyu pale magogoni hapo dodoma wameachiwa kidogo tu za kuvukia Barbara na kuzomea tu.
 
Tunajisahaulisha kwamba katiba AFRICA uwa haitungwi ki raisi kama wengi tunavyozani,kuna njia tukipitia hiyo tuu ndo tunapata katiba mpya iliyo serious otherwise twajidanganya, tatizo ni watakaolipa gharama ya kupita njia hiyo Mungu atusamehe mana si njia ila waafrika tunaipenda sana.
 
Kwa hali hii hata kama UKAWA wangeitikia wito wa kurudi bungeni lazima wangetoka tena.
 
Kessy yuko sahihi kabisa,akina Ummy wale wanaleta uswahili wao kwenye mambo magumu na ktk picha wanaonekana wanafanya mzaha kwenye critical issue.TANGANYIKA NA MAMLAKA YAKO IPO SIKU ITAWEKWA WAZI NA ARDHI HII ITAPATA TENA SAUTI KUU.
 
Kuleni hizo posho ni zawadi kutoka kwa mheshimiwa anayemaliza muda wake, zikibaki siku kumi tu jitoeni turudie bunge na Mkulu aandae fedha nyingine. Mla ni mla leo!!!
 
Hii ni aibu kwa CCM na vibaraka wao,kuwaswaga wabunge wao kama mifugo MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
Hii ni aibu kwa CCM na vibaraka wao,kuwaswaga wabunge wao kama mifugo MwanaDiwani

Hapo mwenyekiti wa kamati na naibu wake wasidhani chama chao kitawaacha hivi hivi. Lazima wawekwe kiti moto na hivi wanavyozidi kudhihirisha kwa vicheko wanadhihirisha walikusudia kukiaibisha chama.Kessy na kina Lugola wanaeleweka ni watu wenye uthubutu hasa linapokuja suala wanaloliamini. Waliona fahari gani kumtaka akanushe mbele ya waandishi jambo ambalo hata wao walishajua alimwesabia mjumbe mmoja wa visiwani kwa kumweka bora? Sasa ndo kawadhihirishia kuwa kuna wakati wanakuwepo wajumbe 12 wa visiwani badala ya 14 wanaotakiwa na akidi lakini mambo yanapitishwa tu.Huwezi kumzuia mjumbe tena mwenye jimbo kabisa kuelezea waandishi msimamo wake kwa hoja ya kuwa kikao ni chako.Hata yeye ana uwezo wa kuwaita waandishi wa habari. Matokeo ya upuuzi huu mtayaona mkianza mjadala bungeni kuchangia rasimu hizo na kuzipitisha kwa kura. Mtabaki na posho mlizojizolea ila katiba haipo.
 
Last edited by a moderator:
Siyo kwamba ni sehemu ya sanaa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…