baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,710
- 4,450
una uhakika hayo mauaji waisilamu hawaja ya laani? mimi muisilamu naenda msikitini na siku zote watu wanalaaani, masheikh wakubwa wakubwa wengi tu kama Mufti menk wanalaani hii video ya menk aliekuwa mufti wa zimbabwe.Mmewahi kutia neno kuhusu boko haramu kuteka mabinti 300?
Msumbiji je?
Mauaji ya garisa yaliyofanywa na al shabab?
Nyinyi mnashindwa kupaza sauti kwa wa africa wenzenu mnataka kupaza sauti kwa waarabu