Namba 8
Ana wiki ya tatu sasa hataki kupiga wala kutuma sms,yaani ni miaka mitatu tu lakini amesharudi kwao mara 4 kwa staili ileile.Na mimi nimeamua kukaa kimya tu.
Namba 8
Ana wiki ya tatu sasa hataki kupiga wala kutuma sms,yaani ni miaka mitatu tu lakini amesharudi kwao mara 4 kwa staili ileile.Na mimi nimeamua kukaa kimya tu.
No 3 inanihusu, yaani my wife wangu akikasirika basi hakuna kuongea, mashavu yamevimba kama anapuliza moto,kupishana kimya kimya ....basi nami nikiona hivyo simsemeshi, tutabaki kimya hivyo mpaka atakapojirudi mwenyewe
No 3 inanihusu, yaani my wife wangu akikasirika basi hakuna kuongea, mashavu yamevimba kama anapuliza moto,kupishana kimya kimya ....basi nami nikiona hivyo simsemeshi, tutabaki kimya hivyo mpaka atakapojirudi mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.