Lameck Masanja
Senior Member
- Aug 5, 2011
- 156
- 242
Chief, hata we ni mmoja tu dunia nzima.. Ila najua unachokusudia kuanza kuhubiri hapa... Hii mada ni kwa MUJIBU WA IMAN YA MASONIC, SIO KWA MUJIBU WA IMANI YA BUDHA, CHRISTIAN OR ISLAMIC.MUNGU NI MMOJA TU
SanaView attachment 1803297View attachment 1803298kuna kitabu nasoma wameelezea vizuri sana huyu jamaa ni mtu mweusi anaelezea imani ya wa misri wa zamani waliojenga yale ma pyramids ambao nao walikua ni watu weusi.......hizi dini alizotuletea mzungu ameficha vitu vingi sana
Kwa wa misri wanamuita Neter na kila kilichokuja baada yake ni neteruNapata shida mungu huyo mkuu sehemu yake ya kike kuwa reflected by light kisha kuwa trapped hii inamaanisha kuna The most high na sii huyu ambae ukike wake umekua reflected
ShukranKwa wa misri wanamuita Neter na kila kilichokuja baada yake ni neteru
Nope hujaelewa. Eva was never a re incarnation of Sophia. Eva alikuwa mtoto wa Adamu mean alitoka kwenye genetical materials za Adamu. Eva was genetically engineered from the genetical materials of Adam.Daaaah. Nimepata shida sana ya kifikra hapo Ialdabaoth alipomlaani nyoka pale Eden. Kimsingi alimlaani mama yake, na mpaka leo laana ile inaishi kwa sababu mama yake hadi leo anatembelea tumbo na kula mavumbi. So sad.
Lakini pia Ialdabaoth aliweka uadui kati ya nyoka na Eva. Kwa sababu Eva ni reincarnation ya Sophia, hivyo Ialdabaoth aliweka uadui kati ya Sophia na Sophia, yaani kati ya mama yake na mama yake!
Balaa sana.
Mfano kuwa trapped ni sawa na Mungu atoke Mbinguni aje duniani akanyage jiwe halafu Alama za nyayo take zibaki kwenye jiwe Kisha kwenye Alama hizo kitokee kiumbe.Ndio nasema mpaka akawa trapped means kuna the highest power ambayo yeye can not stand
By the way nasuburi muendelezo maana unatufumbua kwa tusiyo yajua
Hao ni Filmason mkuu hakuna kitu Kama hicho. Usidanganywe na movie za kinigeriaIbada ya Freemasonry ni lazima utoe kafara.... nguvu utakazozipata ni pamoja na ubora wa kafara yenyewe - bila kafara hakuna nguvu yoyote ya ombi lako utapata !!
Kafara zinazolipa ni kuua Mke, Mme - ingawa kafara ya mtoto ndiyo bora zaidi.
Ogopa sana ibada zenye kutumia damu !!
Ni Nani huyo Mungu Mkuu kwa.mujibu wako?Youtube search Credo Mutwa and David icke
Mimi najua MUNGU mkuu na halisia mwenye nguvu yupo na anaishi nimesikia mengi na nime amini mengi lakini kwa sasa MUUMBA wa kweli yupo japo viongozi wanapotosha au huenda nao wana fichwa ukweli wote japo hata viongozi wakubwa wa mataifa wanajua ila hawana ufahamu wa kuyachambua
Ah! Nimeishia hapa... Hawa jamaa bwanaNi kwamba siku moja Sophia alipita katika eneo ambalo lilikuwa la daraja la chini katika ulimwengu huo wa kiroho na matokeo yake sehemu ya kivuli Cha Sophia ikawa reflected na hatimaye kuwa trapped kwenye eneo hilo.
1.Bible imekuwa corruptedMkuu swali langu kwako, kwanini unatumia maandiko ya biblia kuthibitisha baadhi ya hoja zako?
Je, unamaanisha Biblia imeandika mambo yote kwa usahihi ?
Maana kama ni hivyo kuna maandiko mengine mengi tu yanayozibatilisha hoja zako nyingine. Mfano hiyo ya Lucifer na nyinginezo, hata alizozisema Yesu mwenyewe..
Kwanini tuchague maandiko yanayofavor hoja zako wakati huo maandiko mengine tuyakatae?
These say he is Evil.Sasa kama laldabaoth ndio alikua na wazo la kuumba ulimwengu, na vyote vilivyopo na akafanya hivyo....! Huyo Sophia kwanini asimuache Mungu wa Israeli atimize lengo lake la kuumba huu ulimwengu, kwanini amuingilie laldabaoth katika mpango wake?