πππ wala sina haraka ya ku coment. Ni kwamba kilichoandikwa hapo juu mbali na kujifunza ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Imagine akili zetu zilivyojazwa imani za kikristu na kiislam afu uje uwaambie hivyo. Watakupuuza tu.
Likud ni neno ama jina la Kiyahudi kama siyo Kiebrania.
Seems umebobea sana kuwasoma hao masela wa Mashariki ya Kati.
Kuhusu Ialdabaoth na Sophia nasema kwa nadhiri yangu hilo ni jambo jipya ambalo limetokana na utohoaji wa mkusanyiko wa maandiko matakatifu na untapped scriptures.
Ninapenda kusoma mpaka nwisho niweze kuijaribu Imani yangu kama kweli inaweza kupiga sarakasi zaidi ya nilizopiga mpaka kufika umri huu.
Kuhusu nyoka yes ni mwerevu sana hata sasa maana endapo asingekuwa hivyo wanadamu wangeshamalizana naye kabla sisi kizazi chetu hakijatokea maana kuna uadui mkubwa sana baina yetu na nyoka. Na uadui huo unakuja automatically mtu akishapata akili.