Mjue Mungu wa Freemasonry

nakufuaatilia vzr na kwa ukaribu
 
Hao walikuwa ni akina nani? Kabla ya hapo
Ni watu kabisa lakini wanatumia werevu na maarifa ya nyoka na ufunuo 12:1 alioiba kwa Moyo wa mwanzo, ndio maana mtu alikuwa anaweza akakushika mkono tu ila ndo akakuibia nyota yako ukabaki mtupu.

Kama unakumbuka habari ya mamajusi walioiona nyota ya Yesu pindi anazaliwa tukafundishwa walipeleka zawadi tu ilhali wale walikuwa na walikuwa na lengo tofauti.

Hujiulizi Nyoka anapata wapi ujasiri wa kumpandisha Yesu katika kilele Cha mnara Luka 4:6 "Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo." Kwa sababu ni kweli majira hiyo uumbaji ulikuwa umetekwa na alikuwa anawapa utajiri awapendao.
 
Waislamu waliweza kumfikia aliyekasimiwa uumbaji ila kwa level ya Moyo wa mwanzo na sio CHANZO HALISI.
 
Natamani kila mtu akusome kwanza wewe ili tupate comments zenye tija. Kuna watu muda mwingi hufikiria kupinga tu mambo au kuelezea kwa mujibu wa imani zao. Hapa nashauri mtu asome,a-comment accordingly then atajua yeye abebe Nini aache Nini.
 
kama lalbadaaoth hajui asili yake yaani anasema hajaza wala hajazaliwa, hajaumbwa. hajui kwmb kuna mungu sawfya (mwanamke) wala aeon (mwanaume). hao freemasonry wamewezaje kumjua sawfya na aeon? kumbuka huyu labdaoth ni reflective ya mungu sawfya, na amepuliziwa pumzi ya uungu kutoka kwa mungu sawfya
 
Upuuzi mtupu Lucifer ndio baba wa uongo, usagaji,ushoga,vita,magonjwa,uchawi,uongo,unafiki,ubinafsi,mauwaji,vilevi,uzinzi n.k

Kama ni mwema na anawapenda binadamu mbona awatie majaribuni
 
Kama huyo Mungu Sophia (The most high) kama unavyo muita, Angekuwa na upendo wa kweli na uwezo wa kweli:,

Kwa nini adhihirishi huo upendo na uwezo wake kwa kumzuia huyo Mungu "Labdabaoth" aache kumfunga mwanadamu asili yake??

Huo upendo wake uko wapi???
Kama ana upendo wa kweli kwa nini ana acha mwanadamu aendelee kufungwa na kuto tambua asili yake???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…