Mjue Mamba: Kiumbe mwenye uzito wa ajabu

Mjue Mamba: Kiumbe mwenye uzito wa ajabu

Umesemaje mkuu?
Hatari sana mkuu.kuna story moja niliisoma mitandaoni mwaka 2011 kwamba huko Zimbabwe kuna mkulima mmoja mamba alimkamata mguu kwenye mashamba ya mpunga akamtupia kwenye dimbwi sasa ktk kukurukakara za mapambano bahati mbaya au nzuri vidole vya jamaa vikamuingia mamba puani,unaambiwa mamba aliishia kukimbia mwenyewe na kukiacha kipande cha mguu alichokikata na hata watu walipokuja kumtafuta wamuue walimkuta ameshahama.sasa sijui ilikuwa nyepesi nyepesi!!!ila pia niliisikiliza BBC habari hiyo.
 
Hatari sana mkuu.kuna story moja niliisoma mitandaoni mwaka 2011 kwamba huko Zimbabwe kuna mkulima mmoja mamba alimkamata mguu kwenye mashamba ya mpunga akamtupia kwenye dimbwi sasa ktk kukurukakara za mapambano bahati mbaya au nzuri vidole vya jamaa vikamuingia mamba puani,unaambiwa mamba aliishia kukimbia mwenyewe na kukiacha kipande cha mguu alichokikata na hata watu walipokuja kumtafuta wamuue walimkuta ameshahama.sasa sijui ilikuwa nyepesi nyepesi!!!ila pia niliisikiliza BBC habari hiyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] alikosa pumzi? Au labda wapo sensitive puani
 
napia ana stake ya kutosha na bei yake ipo juu kweli kweli, kwa wale wamtumiao kama kitoweo.
 
Hatari sana mkuu.kuna story moja niliisoma mitandaoni mwaka 2011 kwamba huko Zimbabwe kuna mkulima mmoja mamba alimkamata mguu kwenye mashamba ya mpunga akamtupia kwenye dimbwi sasa ktk kukurukakara za mapambano bahati mbaya au nzuri vidole vya jamaa vikamuingia mamba puani,unaambiwa mamba aliishia kukimbia mwenyewe na kukiacha kipande cha mguu alichokikata na hata watu walipokuja kumtafuta wamuue walimkuta ameshahama.sasa sijui ilikuwa nyepesi nyepesi!!!ila pia niliisikiliza BBC habari hiyo.
Ni sahihi, Wanyama Wengi ukishaingiza vidole kwenye pua zao wanakosa ujanja, lazima wasalimu amri.
 
Back
Top Bottom