Mjue Lilith ni nani

Mjue Lilith ni nani

😂😂 mbona kufuri ya zipu langu unayo banaa .. twende tukazungukee
naona saivi kwenye kibox arlet zimekua nyingiii mpaka hatuonekani😪

wew na kama bluetooth tu😅😅 unaconnet tu kama devices ipo on,, mi nitazunguka pekeangu wacha nijitafute kwanzaaa
 
naona saivi kwenye kibox arlet zimekua nyingiii mpaka hatuonekani😪

wew na kama bluetooth tu😅😅 unaconnet tu kama devices ipo on,, mi nitazunguka pekeangu wacha nijitafute kwanzaaa
😂 nalala na biblia ujue jamanii, mzee wa kanisa ni mie.

Kuthibitisha kesho nakupeleka jumuiya 😊
 
😂😂 Jamani jamani tema mate chini, mbona unataka nichomwe moto kwa tuhuma ya uzinzi ..

😊😊 huzugumzii maneno yanaweza sababisha mtu akatoka Kigoma hadi Dar kwa miguu kukufata

siku ya mwisho inawekwa big screen ni kuona matukio ya watu hapo hakuna kufichana fichanaa mambo yote yanakuwa wazi..
uchomwe tu tena nitajitolea kusogeza kuwa kibaraka wa kuchochea kuni na kukoleza moto👌👌 mbona uta sarendaaa 😂😂

hapo kwenye big screen sasa uwih😪 ila najifaham sijawahi kufanya ufirauni wa kuogofya najua tu kutakuwepo na wadhambi zaidi yangu,, na wakwanza ni wew
 
uchomwe tu tena nitajitolea kusogeza kuwa kibaraka wa kuchochea kuni na kukoleza moto👌👌 mbona uta sarendaaa 😂😂

hapo kwenye big screen sasa uwih😪 ila najifaham sijawahi kufanya ufirauni wa kuogofya najua tu kutakuwepo na wadhambi zaidi yangu,, na wakwanza ni wew
😂😂😂 ndio tutaona siku hiyoo mambo ya sirini.. kila jambo litawekwa wazi, nitaomba ikifika session yako waongeze sauti na wazoom vizuri screen
 
😂😂😂 ndio tutaona siku hiyoo mambo ya sirini.. kila jambo litawekwa wazi, nitaomba ikifika session yako waongeze sauti na wazoom vizuri screen
nyau wew nimechekaaaaaaaa nahisi unaweza kunga'ng'ania remote wew uwe unafanya na kurewind ili tu nidharirike😂😂😂,,

ikifika zamu yangu tayali wew utakua motoni huwezi kuona kitu,, we ishia tu kunichungulia huku dun-yani
 
nyau wew nimechekaaaaaaaa nahisi unaweza kunga'ng'ania remote wew uwe unafanya na kurewind ili tu nidharirike😂😂😂,,

ikifika zamu yangu tayali wew utakua motoni huwezi kuona kitu,, we ishia tu kunichungulia huku dun-yani
😂😂😂 sio kushika tu remote, nitaomba ku play slow motion alafu picha iwe 3D 8K au 16K yani hutoboi hapo .

Utaniongoza huko motoni, siwezi kwenda peke yangu nitakusubiri tufatane
 
😂😂😂 sio kushika tu remote, nitaomba ku play slow motion alafu picha iwe 3D 8K au 16K yani hutoboi hapo .

Utaniongoza huko motoni, siwezi kwenda peke yangu nitakusubiri tufatane
binadam m baya wew sijapata kuona looh😪😅

uzuri nishaanza kutubu, huko motoni utaenda pekeako😎
 
binadam m baya wew sijapata kuona looh😪😅

uzuri nishaanza kutubu, huko motoni utaenda pekeako😎
😂😂😂 hiyo tutafana, ujue kuna kukata rufaaa eeh
 
Naona tu huu uzi upo kwenye trending kila nikirefresh ikanibidi nije nione humu.

Kuna nini humu mnachoongelea? win-one AYnay
 
Back
Top Bottom