Nadhani hao ni siafu Sisimizi hawana hiyo StyleHuwa napenda wanvyoongozana wakiwa wanatambaa kwa mstari huku wakipishana wala hawakosei.
MUNGU AISEE.
hahahahaUnusa hata harufu zilizo ndani ya kuta za zege? Maana utaacha mchuzi mezani ndani ya nyumba yenye kuta za zege lakini hawachukui dakika nyingi kufika kwenye huo mchuzi.
Sisimizi ni kiumbe cha ajabu sana hapa duniani.
Sisimizi hupenda sana kutembea kwenye makundi makundi.
Sisimizi hutokea fasta sana ukiacha chakula / uchafu sehemu fulani. Hata ukiwa ghorofa ya 10 hapa Bongo, mwaga tu mchuzi kidogo au asali, ndani ya muda mfupi sana utaona sisimizi hao hapo.
Sisimizi huvutwa na kitu haraka sana. Sijajuaga sisimizi hutokea wapi haraka haraka ukishamwaga chakula au uchafu mahali.
Swali :
Sisimizi wanaishigi mazingira gani kiasi cha kwamba hutokea haraka sana fasta…
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mliokunywa maji ya bendera za vyama huwa mnaharibu sana nyuzi za watu.Mkuu ni CCMIZI au CCM?
Wewe ni muongo hayo maji mimi sikunywa ila nilipikiaWatu mliokunywa maji ya bendera za vyama huwa mnaharibu sana nyuzi za watu.
Aaahaaa eti Sisimizi dawa ya tumbo umenikumbusha mbali sana aisee!!Sisimizi dawa ya tumbo bana!
Huyu rover ant ulimsoma kiundani mkuu?.
In kinyambe voiceNimetoka mbio bila kuswaki nije nimfahamu sisimizi kumbe na wewe unauliza tena. Ngoja nirudi kitandani. Kumbaffff thana
Kuliko inzi?Sisimizi wana uwezo wa kunusa harufu kwa mbali mara 5 ya wadudu wote unaowajua
Hiyo ndio inawafanya wawe special
Sent from my SM using Tapatalk
Nzi hafui dafu kwa sisimizi