Huyo ni mtusi kitengo cha ICT PROMO.Umehadithiwa au ulikuwa sehemu ya washirika wa PK.
Au ni Stori ya kukufurahisha wewe mwenyewe?
Maana hadithi za kijasusi lazima msimuliaji awe sehemu ya Ujasusi. Sasa sijajua Mtoa Post upo upande gani.
Kipindi hiki JF imejaa Watusi mpaka kero.
Sana Wewe Subiri sehemu ya pili utaamini unachosema
Kama utasubiria uone intelijisia yake hautaambulia kitu. Maana kuna siri kubwa juu ya hizi kazi. We tambua Ushindi wa vita yeyote kuna mchango wa majasusi. Wajuzi hawasubirii hii simulizi kama wewe unavyosubiriaHakuna muunganiko wa story yako jasusiš,anyway tunasubiri sehemu ya pili ili uendelee kutueleza kuhusu "intelejinsia" ya huyo ok.
Naileta leo MkuuBasi ungetupa Historia ile Ndege ya Rais pale airport nani aliitungua inaelekea upo jikoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ndio naileta sehemu ya Pili. Vipi nifungue uzi mpya au niutipie humu humu kwenye huu uzi?kama unalipwa kuandika hadithi za abunuasi juu ya PK...sawa
but kama unajisemea kwamba PK ndiye aliyemtimua Amini...INA kupasa utoe maelezo ya kutosha..yaliyoshiba
na si abrakadabra
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuKama utasubiria uone intelijisia yake hautaambulia kitu. Maana kuna siri kubwa juu ya hizi kazi. We tambua Ushindi wa vita yeyote kuna mchango wa majasusi. Wajuzi hawasubirii hii simulizi kama wewe unavyosubiria
Ahaa kumbe unao mkanda basi tunssubiri kws hamuNaileta leo Mkuu