Mjue huyu jembe Gary McKinnon

Dah, hapa umenena ukweli mkubwa sana mkuu
 
Jamaa aliweza kuingilia mifumo ya jeshi la Marekani pamoja na NASA akadukua taarifa alizozitaka alafu bado mnatuaminisha jf tuko salama?

Maendeleo hayana chama
bongo hakuna mjuzi kama huyo na hatatokea kamwe
 
uzalendo umemuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…