Mjue huyu jembe Gary McKinnon

Mjue huyu jembe Gary McKinnon

Jamaa aliweza kuingilia mifumo ya jeshi la Marekani pamoja na NASA akadukua taarifa alizozitaka alafu bado mnatuaminisha jf tuko salama?

Maendeleo hayana chama
Kuna watu mnawaza kufanya uhaini saa yoyote
 
Ndio maana nchi yake ilitaka asifungwe na walifanikiwa though baada ya muda kupita.
Mawaziri walitoa mchango mkubwa sana ili Jamaa abaki huru ingawa kwa nchi za kiafrika tayari umekula miaka buku jela au ikishindikana sana unakula bullets tu za kutosha
 
Mawaziri walitoa mchango mkubwa sana ili Jamaa abaki huru ingawa kwa nchi za kiafrika tayari umekula miaka buku jela au ikishindikana sana unakula bullets tu za kutosha
Africa tumewekeza nguvu nyingi kwenye siasa na kulinda vyeo, sio future ya nchi zetu, hilo linajulikana. Kuna kile kipindi police wa Msumbiji waliua Watanzania wengi tu, kipindi hiki hiki cha mzee wa chattle, Watanzania wale walikwenda kuwekeza kule na baadhi yao walipeleka tecknolojia Fulani ya kuchenjua madini ya dhahahbu and the guys were making money, nilishangaa sana kauri za mhe No 1 kuwahusu raia wale walio uawa na serikali ya Msumbiji, nilishangaa sana. Ila hebu gusa nafasi zao uone, kila aina ya silaha iliopo gharani itatolewa but when it comes to the future of our country, walaa. So umasikini wa Africa ni wa kujitakia na sio mpango wa Mungu wala.
 
Africa tumewekeza nguvu nyingi kwenye siasa na kulinda vyeo, sio future ya nchi zetu, hilo linajulikana. Kuna kile kipindi police wa Msumbiji waliua Watanzania wengi tu, kipindi hiki hiki cha mzee wa chattle, Watanzania wale walikwenda kuwekeza kule na baadhi yao walipeleka tecknolojia Fulani ya kuchenjua madini ya dhahahbu and the guys were making money, nilishangaa sana kauri za mhe No 1 kuwahusu raia wale walio uawa na serikali ya Msumbiji, nilishangaa sana. Ila hebu gusa nafasi zao uone, kila aina ya silaha iliopo gharani itatolewa but when it comes to the future of our country, walaa. So umasikini wa Africa ni wa kujitakia na sio mpango wa Mungu wala.
Yaani kama Nina ujuzi huu ni heri nikaombe uraia hata Ufaransa hapo mbona bata ila huku kwetu ni pity hole
 
Yaani kama Nina ujuzi huu ni heri nikaombe uraia hata Ufaransa hapo mbona bata ila huku kwetu ni pity hole
Umenifanya nimkumbe profesa Masau, daktari bingwa wa magonjwa ya moyo aliyetokaga ulaya sijui Marekani kule kuja kuokoa pesa za Watanzania waliokua wanakwenda India kutibiwa ugonjwa wa moyo, aliishia KUFA tu kwasababu ya stress, kibaya zaidi huaga nayakumbuka hadi maneno ya profesa Juma Athuman Kapuya akiwa bungeni, yaani alitoaga maneno ya shombo sana kwa profesa yule. Africa tumekua masikini kwa kujitakia. RIP prof Masau, Mkerewe wa watu
 
Umenifanya nimkumbe prefesa Masau, daktarin bingwa wa magonjwa ya moyo aliyetokaga ulaya sijui Marekani kule kuja kuokoa pesa zaWatanzania waliokua wanakwenda India kutibiwa ugonjwa wa moyo, aliishia KUFA tu kwasababu ya stress, kibaya Zaidi huaga nayakumbuka hadi maneno ya profesa Juma Athuman Kapuya akiwa bungeni, yaani alitoaga maneno ya shombo sana kwa profesa yule. Africa tumekua masikini kwa kujitakia. RIP prof MAsau, Mkerewe wa watu
Kuna Jamaa tulipiga naye primary yupo France anapiga IT mzee hataki kusikia ishu about bongo
 
Kwa nini unasema ndiye mdukuaji hatari zaidi wakati tunawajua akina Asange na Snowden?
 
Kwa nini unasema ndiye mdukuaji hatari zaidi wakati tunawajua akina Asange na Snowden?
Sio kwamba Gary ni noma kuliko hao.
Wadukuzi hatari wapo wengi mtafute jembe mmoja from dark web anaitwa Zed
 
Mhando bhana
Huyo huyo bhana, halafu walivyo muharibia (tena hawa hawa kina Makamba Sn ) eti na huyu nae akaona kama jamaa kua pale kwa mzee wa rambaramba na kwenyewe shida, akatengenezewa kesi ya 800M, bongo bhana. Yaani ukiwa kwenye siasa za vyama tawala Africa ni sawa na kua mchawi tu, sema vitendea kazi vya kichawi ndio vinatofautiana
 
Bi mkubwa aliniambia niifanyie Kazi ndoto yoyote ninayoiota ila kasoro ndoto mbili tu ndo niache kabsa.
1. Polisi maana hawa Jamaa hawajui kuwa nao ni binadamu na sana roho. Wamejisahau sana.
2. Siasa maana hawa anaweza kuongea jambo Leo watu wakafurahi na kucheka sana. Lakini kesho akaongea neno hilo hilo na watu wakachezea kichapo heavy.
NB:
Kuna course moja ya IT ninaifuatilia then after there nasepa nje ya bongo dadeki ninaweza kubadilisha hata uraia sitaki kufuatiliwa na Mchawi Karaba pamoja na Vibaraka vyake.
 
Bi mkubwa aliniambia niifanyie Kazi ndoto yoyote ninayoiota ila kasoro ndoto mbili tu ndo niache kabsa.
1. Polisi maana hawa Jamaa hawajui kuwa nao ni binadamu na sana roho. Wamejisahau sana.
2. Siasa maana hawa anaweza kuongea jambo Leo watu wakafurahi na kucheka sana. Lakini kesho akaongea neno hilo hilo na watu wakachezea kichapo heavy.
NB:
Kuna course moja ya IT ninaifuatilia then after there nasepa nje ya bongo dadeki ninaweza kubadilisha hata uraia sitaki kufuatiliwa na Mchawi Karaba pamoja na Vibaraka vyake.
Course gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom