sisya
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 263
- 96
Kuna watu wamekuwa wanachanganya story ya Lema Amin na Godbles lema Mbunge,Lema Amini ni mfanyabiashara wa magari na anausishwa na mambo mengi ambayo sio mazuri.Kuna uzi uko humu jf unazungumzia ufisadi wa lema mbunge,huyu mtoa post hamuelewi lema vizuri,na aelewe lema ni ukoo mkubwa wapo wengi.Lema mbunge yupo safi.