Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
Mgombea bora hadi sasa ni trump hao wengine ni politians they all talk but no actionUrais ulikuwa wake
Ila ishu ya kujenga ukuta kule mpaka wa meksiko
Pmj na maneno ya kuudhi anaropoka vimemkosesha point
Sio kwamba mama clinton ni mgombea mzuri, ila kwa sababu wanapambana na mtu ambaye tayari ashashindwa kisaikolojia
Mgombea jeb bush ambaye alipigwa chini kwenye kura za maoni angekuwa Rais bora zaid baada ya obama
Siasa mara ingine inabidi ufuate watu wanataka useme niniMgombea bora hadi sasa ni trump hao wengine ni politians they all talk but no action
Hizi ni hisia za kipuuzi. Unachotakiwa kujiuliza:Tukiweka ushabiki pembeni na akili za ajabu ajabu za wamarekani (maana unaweza kukuta wanamchagua), Trump hana sifa ya kuwa Rais wa Marekani. Hata wanasiasa wa kawaida tu hapa kwetu Tanzania wanaweza kumpita kwa mbali kung'amua lipi la kuzungumza na lipi la kuacha. Aaaaah! mama Clinton ana bahati kujipatia mteremko
Kwa historia hii ina maana Trump ni Mmarekani hasa, kama wazazi wake walihamia miaka ya 1800, basi ni Mmarekani asilia maana wengi wa Wamarekani wazazi wao walihamia USA miaka ya 1600 - 1800, ukiwaacha Red Indians.Hata yeye siyo asilia Mmarekani.
With German ancestry from his father and Scottish ancestry from his mother, millionaire real estate developer Donald Trump epitomizes the American immigrant experience.
Immigrating to America in 1885, he began his fortune running the Arctic Restaurant and Hotel in Bennett, British Columbia, during the Klondike Gold Rush. Christine, who would later become his wife, was only 5 when he left Germany, but they kept in touch by mail and eventually married.
Wamarekani wanaomuunga mkono Trump wanasema kuwa Trump wanamwona ni mkweli wa nafsi yake. Anatamka kilichopo moyoni na akilini mwake, na wanaamini atatenda kama anavyonena.Kila napowasoma watu wanaompinga trump napata picha jinsi maskini tulivyo. Trump na Clinton Mara elfu ya huyu babu, kina Clinton ndio wauaji wa Gadaffi, Saddam na wengine bila kusahau Obama hawa ni mashetani kabisa usoni wanacheka moyoni wamebeba bundukiii, mi nawaambieni if at all trump win this election, mtaona tofauti kubwa sana mojawapo ni Amani kwenye sehemu nyingi za vita kama mashariki ya kati na ugaidi utapungua kwa kasi,
Mheshimiwa sana Msambichaka Mkinga nilikuwa nakutafuta sana please naomba nisaidie nakupata vipi ndugu yangu samahani kwa kuingilia madaWamarekani wanaomuunga mkono Trump wanasema kuwa Trump wanamwona ni mkweli wa nafsi yake. Anatamka kilichopo moyoni na akilini mwake, na wanaamini atatenda kama anavyonena.
Wanasema Clinton anatamka kile anachohisi Wamarekani wangependa kusikia hata kama yeye mwenyewe hakiamini. Wamarekani wanataka mtu mkweli kwa nafsi, kauli na vitendo.
Vp ndugu unapenda slope?MOLA NISAMEHE HUYU MTU HAPANA KABISA. ...
anabagua waislamu, wamexico weusi, huyu hafaiTrump ana mbagua nani? Mtu mweusi? Sasa kule ni Marekani ni nchi yao weupe.
Tukisema Trump hatashinda kisa ubaguzi, population ya US itatuumbua. Ratio Kati ya blacks na whites.
Watu wengi saivi dunia, nchi kibao zinaingia kwenye Neo-nationalism, ndio kutokea kwa brexit etc...kwa mfumo huo wa sasa, watu kuweka nchi zao mbele kwanza inatosha kuleta picha kuwa Trump atashinda tho media zinambana na kumwekea bad coverage ila box la kura halitadanganya.
Hata kama alirithishwa kampuni!! Na ndio imemfanya aje kuwa MTU mkubwa hivo bado n MTU makini kwan wangap wanarithishwa vitu Mali na wazee wao wanakua wa kwanza kufirisika nafkiri mifano hai! Hapa hapa nyumbani!!Kujisifu kote kumbe alirithishwa kampuni. Marekani hawana rais kwa staili hii
Nadhani Wamarekani wamelichoka jina la Bush White House.Urais ulikuwa wake
Ila ishu ya kujenga ukuta kule mpaka wa meksiko
Pmj na maneno ya kuudhi anaropoka vimemkosesha point
Sio kwamba mama clinton ni mgombea mzuri, ila kwa sababu wanapambana na mtu ambaye tayari ashashindwa kisaikolojia
Mgombea jeb bush ambaye alipigwa chini kwenye kura za maoni angekuwa Rais bora zaid baada ya obama
Kuna mtu hapo juu anasema wenye mtazamo kama huu ni akili za Lumumba. Yeye anataka jukwa lote wakubaliene na mtazamo wake ndo afurahiFikra zako zinasadifu za kwangu,yaani mule mule, nukta kwa nukta neno kwa neno.
Mkuu mbona umefika mbali, huwatendei haki walimu wakoHazikosi kuwa akiri za lumumba hizi
ingekua bongo tungesema hana sifa ya kugombea kwani ikulu ni patakatifu hawaingii wanamielekaEeeh
Kweli we ulikuwa unacheki eleka
Trump tayari yuko kwenye WWE hall of fame
BushifibiaNadhani Wamarekani wamelichoka jina la Bush White House.
Hahahaahingekua bongo tungesema hana sifa ya kugombea kwani ikulu ni patakatifu hawaingii wanamieleka
Nakubaliana na wewe kwa sababu kuzaliwa tu Marekani kunakufanya uwe raia hata kama wazazi wako siyo raia. Ila issue hapa ni kwamba kuna Weusi wamekuja miaka mingi, wengine wamezaliwa uko na wazazi ni raia, kuna Wamexico in the same category lakini anawaita bado ni immigrants. Sasa yeye tumuiteje na mke wakeKwa historia hii ina maana Trump ni Mmarekani hasa, kama wazazi wake walihamia miaka ya 1800, basi ni Mmarekani asilia maana wengi wa Wamarekani wazazi wao walihamia USA miaka ya 1600 - 1800, ukiwaacha Red Indians.