Mmmhh! Nimeanza aya ya pili kwa kusema: "Pili, si wazungu wote wabaguzi ......." Uliuona msitari huo? Hoja yangu ilikuwa kukanusha kwamba kuna watu weusi wachache kwa hivyo hawawezi kubadilisha mambo iwapo wazungu wanamtaka Trump.Unakosea unapo sema wazungu ni wabaguzi na wakati huo unasema clinton sio mbaguzi.
Na wakati huo trump na clinton wote ni wazungu.
Na nikwambie tu ukweli saizi swala la ubaguzi ni janga la kidunia hata ww mwenyewe unaweza ukute hapo ulipo unabaguliwa na waafrika wenzako bila ww mwenyewe kujijua.
Ila unaona mzungu peke yake ndio mtu mbaguzi duniani.
Kama unafuatilia kupitia CNN, BBC FOX na ndugu zao wengine pole sana kijanaNafatilia sana siasa za USA trust me guys, trump hawezi kushinda, ila ataleta ushindan mkubwa sana.
afu uyu trump nadhani nishawai muone kwenye mieleka akimnyoa mwenzie nywelekuna movie fulani ya watoto yumo.
Eeehafu uyu trump nadhani nishawai muone kwenye mieleka akimnyoa mwenzie nywele
Kwa nini hawezi shinda!!,Nafatilia sana siasa za USA trust me guys, trump hawezi kushinda, ila ataleta ushindan mkubwa sana.
Ngoja kwanza ndege zizalishe faida ndio tulipe madeniZile pesa za Escrow za SCB Hong Kong hivi tunaanza kuwalipa lini?
Hata Wamarekani hupotoka. Mwaka 2000, Al Gore vs. GW Bush. Wakamchagua Bush kwa sababu Al Gore alikuwa too serious and stiff. Walimchagua mtu anachekacheka na anasema yeye hafikiri sana na anafuata guts tu. Matokeo yake surplus yote aliyoiacha Clinton ilitoweka katika miaka miwili. Kwa hivyo wanaweza kabisa na wameshawahi kuchagua incompetent people.Uzuri wa watu wa marekani ni kwamba, walio wengi wanauwezo wa kuchambua na kuelewa mambo kwa upana wake.
Watu wa Marekani sio watu unaoweza kuwabeba tu kwa Sera danganyifu za jukwaani.Huku duniani ndio mnaona ugumu wa uchaguzi huu ila ukweli ni kwamba wao washaona kuwa huu ni uchaguzi rahisi kuliko yote.
Hana lolote mnafiki tu huyoMh, huyo rais wa nchi anaeishi White House ambae hata hajui uwepo wako wewe duniani akuzuie kuongeza elimu yako mkuu au kuna mengine?
Wewe mali za wazazi wako ungewapa marafiki Au ndugu?Kujisifu kote kumbe alirithishwa kampuni. Marekani hawana rais kwa staili hii
Mie namchukia tu huyo jamaaWewe mali za wazazi wako ungewapa marafiki Au ndugu?
Sababu alizaliwa us ndo mana karuhusiwa gombea urais ingawa wazazi wke wana asili ya uscochKwani yeye Trump Marekani ni nchi yake? Yeye ni Mscotish muhamiaji kama weusi
Anasema; Africa lazima itawaliwe na wazungu, wa pate kuurudisha ustaarabu Wali uacha
Donald Trump alizaliwa June 14, 1946, Mmarekani mfanyabiashara ambae sura yake si ngeni kwenye TV, pia ni mwanasiasa na mfanyabiashara.
Trump alizaliwa katika jiji la New York na alipata shahada yake ya uchumi mwaka 1968 kutoka Chuo Kikuu cha Pennyslavania. Akiwa mwanafunzi alifanya kazi kwenye kampuni ya baba yake iliyojihusisha na ujenzi, na mwaka 1971 alikabidhiwa hati miliki za kampuni hiyo.
Trump ni mtoto wa pili kutoka mwisho kuzaliwa katika watoto wanne wa Fred na Mary Tramp, wamebaki watoto watatu baada ya kaka yao mkubwa Fred Jnr. kufariki kutokana na matatatizo ya ulevi wa kupitiliza, hii ni sababu iliyomfanya Donald kujiepusha kabisa na matumizi ya pombe na sigara.
Kutokana na matatizo ya tabia Donald aliacha shule ya Kew-Forest School akiwa na umri wa miaka 13 na kujiunga na New York Military Academy ambako alimaliza darasa la nane na elimu ya masomo ya juu (High School). Baba yake alipowahi kuhojiwa, baba yake Trump akisema Trump alikuwa mtukutu sana akiwa mdogo.
Akiwa NYMA, Trump alicheza kwata, alivaa uniform na alifikia cheo cha Captain, mwenyewe aliwahi kumumelezea mwandishi wa habari zake kuwa, NYMA ilimpa mafunzo mengi ya kivita kuliko waliowahi kwenda vitani.
1964 Donald Trump akiwa New York Military Academy.