Mjomba ndiye aliyenitoa bikira yangu!

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
Nanukuu...

Mimi ni msichana (mwanamke) ambaye nimelelewa katika mazingira ya kimaadili na ya kiucha Mungu. Nimevumilia sana kwa miaka mingi lakini sasa naona ninazidi kuchanganyikiwa kiasi cha kutaka kuchukua uamuzi usiofaa!

Miaka ya mwanzoni mwa 1990's tulikuwa tunaishi na mjomba wangu ambaye alinizidi miaka 11. Mimi ni mtoto wa kike wa pekee pia nina mdogo wangu wa kiume. Wazazi wetu sio watu wa kukaa sana nyumbani kwani mara kwa mara walikuwa wanasafiri kwenda ng'ambo kikazi.

Kuna siku moja wakati tumebaki mimi na mjomba wangu hapo nyumbani aliweka muvi ya titanic na tukawa tunaangalia pamoja! Muda kupita alileta vinywaji na tukanywa! Baada ya muda mfupi nikaanza kujisikia kizunguzungu na alianza kunishikashika na kwakuwa nilikuwa sina nguvu alinibeba na kunipeleka chumbani kwake!

Nilikuwa sijiwezi hata kupiga kelele na alifanya kila kitu kisha kunipa Tshs 5000 na kuniambia nisiseme kwa mtu! Baada ya muda nilisikia maumivu sana na niliona aibu kuingiliwa kinyume na mjomba wangu!

Nilitaka kumwambia mdogo wangu lakini niliona aibu. Nilitaka kumwambia mama pia niliona aibu kwani aliyenifanyia ni mdogo wake!

Roho iliniuma sana kwani yeye (mjomba) ndiye aliyenitoa BIKIRA...

Nimevumilia lakini kila nimuonapo nakuwa sina amani na hata kuna wakati nilifikiria suala la kutaka kumuwekea sumu katika chakula ili afe!

Hii hali bado inanitesa sana moyoni kwani hata wazazi wangu hawajui kitu chochote!

Kwasasa nimeolewa na sina amani na ndoa yangu kwani nahisi kama mjomba wangu alinifanyia unyama wa kutisha! Nashawishika kumweleza mume wangu lakini ninaogopa kuharibu ndoa yangu. Sijui mume wangu akijua atanichukuliaje! Wazazi wangu nao wakijua watanichukuliaje?

Ndugu wasomaji hali ndiyo kama hiyo, naomba mnisaidie mawazo yenu je niweke mambo wazi? Je, nitaificha vipi aibu yangu? Je, jamii itanielewa?

Kila siku hali inakuwa ni mbaya kwani nakosa raha na nasikitika kusema kwamba kila mara niwazapo juu ya suala hili huwa ninapata jibu moja tu: kujiua!

Naomba mchango wenu kimawazo!


 
Roho iliniuma sana kwani yeye (mjomba) ndiye aliyenitoa BIKIRA...

kama asingetolewa Bikira ingekuwa safi tu?? au??!!
 
We una matatizo zaidi ya hilo..!huh!

Umeolewa, unaishi na bwanako, unakosa kazi hadi unaanza kuwaza mambo ya mjombako...aibu kwako...it happened, and thats all!

Ingekuwa unakataliwa na wanaume kisa wanajua ulibikiriwa na mjombako , hiyo ingekuwa ishu nyingine...

Sioni sababu yoyoye ya kupoteza muda wako kuwaza kujiua...for what...-Over my dead body,sijiui wala nini...wai!
 
eeeh bwana eeeh move on na maisha yako hilo jambo lilitokea hukusema sasa iweje leo ?
 
Hilo jambo lilishapita, lisahau. Kwa kuwa sasa una kwako, tulia na mumeo na familia yako, sahau yaliyopita. Unataka kujiua kwani una hatia gani katika hilo? Endelea na maisha yako kama vile nothing ever happened to you.
 
nanukuu...

mimi ni msichana ambaye nimelelewa katika mazingira ya kimaadili na ya kiucha mungu. Nimevumilia sana kwa miaka mingi lakini sasa naona ninazidi kuchanganyikiwa kiasi cha kutaka kuchukua uamuzi usiofaa!

miaka ya mwanzoni mwa 1990's tulikuwa tunaishi na mjomba wangu ambaye alinizidi miaka 11. Mimi ni mtoto wa kike wa pekee pia nina mdogo wangu wa kiume. Wazazi wetu sio watu wa kukaa sana nyumbani kwani mara kwa mara walikuwa wanasafiri kwenda ng'ambo kikazi.

kuna siku moja wakati tumebaki mimi na mjomba wangu hapo nyumbani aliweka muvi ya titanic na tukawa tunaangalia pamoja! Muda kupita alileta vinywaji na tukanywa! Baada ya muda mfupi nikaanza kujisikia kizunguzungu na alianza kunishikashika na kwakuwa nilikuwa sina nguvu alinibeba na kunipeleka chumbani kwake!

nilikuwa sijiwezi hata kupiga kelele na alifanya kila kitu kisha kunipa tshs 5000 na kuniambia nisiseme kwa mtu! Baada ya muda nilisikia maumivu sana na niliona aibu kuingiliwa kinyume na mjomba wangu!

nilitaka kumwambia mdogo wangu lakini niliona aibu. Nilitaka kumwambia mama pia niliona aibu kwani aliyenifanyia ni mdogo wake!

roho iliniuma sana kwani yeye (mjomba) ndiye aliyenitoa bikira...

nimevumilia lakini kila nimuonapo nakuwa sina amani na hata kuna wakati nilifikiria suala la kutaka kumuwekea sumu katika chakula ili afe!

hii hali bado inanitesa sana moyoni kwani hata wazazi wangu hawajui kitu chochote!

kwasasa nimeolewa na sina amani na ndoa yangu kwani nahisi kama mjomba wangu alinifanyia unyama wa kutisha! Nashawishika kumweleza mume wangu lakini ninaogopa kuharibu ndoa yangu. Sijui mume wangu akijua atanichukuliaje! Wazazi wangu nao wakijua watanichukuliaje?

ndugu wasomaji hali ndiyo kama hiyo, naomba mnisaidie mawazo yenu je niweke mambo wazi? Je, nitaificha vipi aibu yangu? Je, jamii itanielewa?

kila siku hali inakuwa ni mbaya kwani nakosa raha na nasikitika kusema kwamba kila mara niwazapo juu ya suala hili huwa ninapata jibu moja tu: kujiua!

naomba mchango wenu!
kujiua is not a solution. Muombe mungu ukuondolee shetani wa kujiua, then jaribu kktana na mjomba wako mkmbushie unyama aliokufanyia mwangalie atajibu nini, akijifanya jeuri we mwambie mama kuhusu hilo!!! Ila nilazima uandae mazingira ya kumweleza sio ukurupke!!!!!!! Pole sana
 
We una matatizo zaidi ya hilo..!huh!

Umeolewa, unaishi na bwanako, unakosa kazi hadi unaanza kuwaza mambo ya mjombako...aibu kwako...it happened, and thats all!

Ingekuwa unakataliwa na wanaume kisa wanajua ulibikiriwa na mjombako , hiyo ingekuwa ishu nyingine...

Sioni sababu yoyoye ya kupoteza muda wako kuwaza kujiua...for what...-Over my dead body,sijiui wala nini...wai!

namshangaa!

yaani angekuwa ametolowa hiyo kitu na mtu mwingine angetaka kujiua bado?

hebu aache mawazo ya kishetwani kabisa haya! dah!

Amesgaolewa sasa anatakaje? katu asimweleze sio mume tu hata mtu yeyote yule. hiyo ni the past, and thats the past. Kama hawezi kuacha mambo yalopita yapite basi ana walakini..she should be strong

plus, asipende kukaa au kuonana na huyo mjomba wake..si yupo kwa mumewe au 'mjomba' bado anamfuata huko!?
 
Ulikosea tangu siku nyingi! Ulitakiwa kuwaeleza wazazi wako mapema baada ya tukio. Nakuomba itisha kikao kama unaweza, akiwemo yeye, mama baba na ndugu wa4 au wa5 hv..then waeleze kilichotokea.. (TEGEMEA HATOKUBALI KUWA KAFANYA HICHO KITU) Vinginevyo utaumia mpaka unafikisha miaka mia (100) kama hutojitoa roho! POLE SANA MAMA.... Imenigusa
 
Dah mpwa aliamua kula mayai ya dada ake hivi hivi hehehe ndo raha ya kula na nduguyo hiyo asiumie sana maana alie faidi ni ankal
 
We una matatizo zaidi ya hilo..!huh!

Umeolewa, unaishi na bwanako, unakosa kazi hadi unaanza kuwaza mambo ya mjombako...aibu kwako...it happened, and thats all!

Ingekuwa unakataliwa na wanaume kisa wanajua ulibikiriwa na mjombako , hiyo ingekuwa ishu nyingine...

Sioni sababu yoyoye ya kupoteza muda wako kuwaza kujiua...for what...-Over my dead body,sijiui wala nini...wai!
kuna vitu vingine havifikiriki jamani!!

assume kama ww ungepigwa mta****o na ankal wako na hapo namaanisha kinyume na maumbile..........uuwiiiii, ungekuta nipo Segerea kwa kuua kwa kukusudia.
 
eeeh bwana eeeh move on na maisha yako hilo jambo lilitokea hukusema sasa iweje leo ?
..Kwani angesema ndio ingekuwaje?? alifurahia huyo ndio maana alikaa kimya. Kama hicho kitu kilimuuma hakutakiwa kufikiria suala la aibu wala kuharibu uhusiano wa mjomba wake na mama yake yeye angelipua bomu tu...Imetoka hiyo!!
 
..Kwani angesema ndio ingekuwaje?? alifurahia huyo ndio maana alikaa kimya. Kama hicho kitu kilimuuma hakutakiwa kufikiria suala la aibu wala kuharibu uhusiano wa mjomba wake na mama yake yeye angelipua bomu tu...Imetoka hiyo!!
alipewa hela ili asiseme kwa mtu
 
Nanukuu...

Kila siku hali inakuwa ni mbaya kwani nakosa raha na nasikitika kusema kwamba kila mara niwazapo juu ya suala hili huwa ninapata jibu moja tu: kujiua!

Naomba mchango wenu kimawazo!



Kuna principle rahisi sana ya kuondokana na hilo tatizo; TRY TO FORGET THINGS THAT MAKE U SAD AND ALWAYS REMEMBER THINGS THAT MAKE U HAPPY!
 
We una matatizo zaidi ya hilo..!huh!

Umeolewa, unaishi na bwanako, unakosa kazi hadi unaanza kuwaza mambo ya mjombako...aibu kwako...it happened, and thats all!

Ingekuwa unakataliwa na wanaume kisa wanajua ulibikiriwa na mjombako , hiyo ingekuwa ishu nyingine...

Sioni sababu yoyoye ya kupoteza muda wako kuwaza kujiua...for what...-Over my dead body,sijiui wala nini...wai!

Paka jimmy katika siku ambazo umenifurahisha ni leo, yaani sina la kuongeza kama bikira imeshatoka imetoka tu, na inaonekana binti analipa ndo maana kaolewa naomba nimpongeze kwa hilo, bibiye huna sababu ya kurudia mawazo ya zamani, usiwe na mitazamo ya katika tamthilia ambayo wazungu wanajidai kwamba eti mtu akiingiliwa kwa nguvu hawezi kusahau tukio hilo na anaathirika kisaikolojia, after all wewe hujabakwa ila anko alitumia ujanja wa kukulewesha kidogo ndo maana akaweza kufanya kitendo hicho, nakuomba achana na mawazo ya ki-tamthilia.
 
kuna vitu vingine havifikiriki jamani!!

assume kama ww ungepigwa mta****o na ankal wako na hapo namaanisha kinyume na maumbile..........uuwiiiii, ungekuta nipo Segerea kwa kuua kwa kukusudia.
Mjomba taratibu eeh!
Iam watching you from a distance!...Mind your utterances
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom