Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Mjihadhari na huyu tapeli wa JF

Jiwedogo

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
2,811
Reaction score
4,099
Ameweka matangazo kadhaa kwamba anauza kuku/vifaranga, kumbe ni tapeli na anatumia njia ya laghai kudanganya watu humu jf kisha anapotea na pesa.
Naomba wengine waliokua na nia ya kuhitaji bidhaa kutoka kwa huyu bwana wachukue tahadhari.
20171220_103532.png

Hicho ni kiasi cha pesa nilio mtumia kwaajili ya kusafirishia mzigo.
Screenshot_2017-12-20-12-50-42.png
Screenshot_2017-12-20-12-51-08.png
Screenshot_2017-12-20-12-51-32.png
Screenshot_2017-12-20-12-51-56.png
Screenshot_2017-12-20-12-52-17.png
Screenshot_2017-12-20-12-52-36.png
Screenshot_2017-12-20-12-52-52.png

Hizo ni conversations zangu na tapeli huyo wa jf.
 
Tunashukuru sana mkuu kwa taarifa hii,,hawa watu wapo wengi sana,,mdogo wangu 1 hv katapeliwa kwenye j.k.t ya juzi kati hapa laki 3 imekwenda hv hv,
Pole sana mkuu.
Mimi huyu jamaa alinishawishi sana ili nimtumie walau kiasi na nilimkatalia. Then nilomtumia kiasi cha nauli tu.
 
Pole ila acha kuwa mwepesi kuwaamini wanadamu wenzako kiasi hicho utapigwa sana
Asante mkuu....
Binafsi sikua na imani na ndiomaana nilimkatalia kutoa hata advance hadi niuone mzigo
 
Sikatai ujinga wangu mkuu...
Lakini natoa tahadhari kwa wajinga wenzangu humu jf
Nilivyosoma text conservation yenu nimegunduwa wewe ndio ulitaka kumtapeli mwenzako yani upewe vifaranga 100 kwa shilling 17,000/= tu.

acha kumchafuwa mwenzako hata tukienda mahakamani huu siyo ushahidi wa kuthibitisha umetapeliwa ni wewe ndio ulitaka kutapeli na pesa ya tapeli huwa haina refund.
 
Kazi ipo sijui kwanini kuna watu wana tabia ya kuharibu biashara za mitandaoni kiasi kwamba hata tunaofanya aina hizi za biashara tunaonekana waongo.Mkuu pole kwa yaliyokukuta siku ingine chukua tahadhari unapofanya biashara za mitandaoni ni vizur ujue kwanza ofisi ya muhusika ilipo ndo utume hela.
 
Bado wale walio tapeliwa pesa kwa mafunzo ya Forex..

Mtaje ID tumjue acha mipasho
Kuna watu walilipia mafunzo na hawakupatiwa hayo mafunzo waliyolipia? wanaweza kutowa ushuhuda hapa wa kutapeliwa pesa zao za training?
 
Back
Top Bottom