VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Mpaka sasa, taarifa zisizo na vumbi, mji wa UVIRA, makao makuu ya Kivu kusini, upo mikononi mwa waasi wa serikali ya DRC, ambao ni M23.
Ikumbukwe, wapiganaji wote wa upande wa serikali ya DRC, asilimia kubwa wamekimbilia nchini Burundi, huku wengine wakiwa wameelekea Kalemie.
Kalemie, ni mji uliopo mashariki kusini mwa nchi hiyo, ambao hufikika kwa njia ya maji ukitokea nchini Burundi.
Haijajulikana kama safari ya M23 itawafata huko ambapo ni uelekeo wa Lubumbashi, mpakani mwa nchi hiyo na Zambia.
Ikiwa mpango ndo huo, basi Congo na Burundi si majirani tena.
==============================
Rwandan-backed rebels pushed into the outskirts of the strategic city of Uvira in eastern Congo on Tuesday, local authorities said, as part of a new offensive that the U.N. says has displaced more than 200,000 residents in recent days.
The latest offensive by the Rwandan-backed M23 rebel group comes despite a U.S.-mediated peace agreement signed last week by the Congolese and Rwandan presidents in Washington. The accord did not include the rebels, who are negotiating separately with the Congo and agreed earlier this year to a ceasefire that both sides accuse the other of violating, but it obliges Rwanda to halt support for armed groups and work to end hostilities.
Source: France 24
Ikumbukwe, wapiganaji wote wa upande wa serikali ya DRC, asilimia kubwa wamekimbilia nchini Burundi, huku wengine wakiwa wameelekea Kalemie.
Kalemie, ni mji uliopo mashariki kusini mwa nchi hiyo, ambao hufikika kwa njia ya maji ukitokea nchini Burundi.
Haijajulikana kama safari ya M23 itawafata huko ambapo ni uelekeo wa Lubumbashi, mpakani mwa nchi hiyo na Zambia.
Ikiwa mpango ndo huo, basi Congo na Burundi si majirani tena.
==============================
Rwandan-backed rebels pushed into the outskirts of the strategic city of Uvira in eastern Congo on Tuesday, local authorities said, as part of a new offensive that the U.N. says has displaced more than 200,000 residents in recent days.
The latest offensive by the Rwandan-backed M23 rebel group comes despite a U.S.-mediated peace agreement signed last week by the Congolese and Rwandan presidents in Washington. The accord did not include the rebels, who are negotiating separately with the Congo and agreed earlier this year to a ceasefire that both sides accuse the other of violating, but it obliges Rwanda to halt support for armed groups and work to end hostilities.
Source: France 24