Ulanga(Mahenge), Malinyi, Mlimba, Kilombero na Ifakara, nahisi ipo hivi.
Mkuu wageni mara nyingi ndio wanaoleta mabadiliko kwenye miji mingi, sio onaona hata dar wazaramo wenyewe hali zao za kimaisha ni za kawaida tu, na wala sio wao wanaomiliki maghorofa, ni wageni tuSasa mkuu huo Mji si unachangamshwa kibiashara na wageni! Hasa Wasukuma. Ila ukija kwa wenyeji, mambo siyo mepesi hata kidogo.
Nimeishi miaka mingi sana Ifakara. Ila ukiilinganisha na Njombe, naona kama Njombe iko juu zaidi ya Ifakara. Ifakara ingelinganishwa na Mji kama Kilosa vile, hakika Ifakara ingetisha mbaya.
Nchi ngumu hii ndugu yangu, tunasubiri huruma za wakuu tu.Wabunge wenu wachachamae ama sivyo CHATO itakuwa Mkoa kabla yenu!!! Kama mmekidhi masharti lazima mpewe haki yenu!
Na ukienda Ifakara msimu wa kung'olelea mpunga (march mpaka Mei) aisee huwa kunapooza sana!Ifakara hakuna hata club...wanashindwa hata na malinyi
Boss umefika Kanyigo kwa akina Rugemarila?????Njombe ni mdogo wake na Mbeya. Ilijengwa kiholela kama Mbeya.
Njbe vijijini kulijengwa vizuri kuliko vijiji vya mikoa mingene.
Na ukienda Ifakara msimu wa kung'olelea mpunga (march mpaka Mei) aisee huwa kunapooza sana!
Yaani mishe mishe na kuchangamka ni wakati wa mavuno na kiangazi (Juni mpaka Disemba)! Mfano ukienda leo Ifakara, ni lazima utafurahia zile mishe mishe za watu. Ila baada ya hapo, kunadorora tena! As
Wakati wa kung'olelea ni kipindi cha masika mvua ni nyingi sana, so kupooza ni kawada kwasababu watu wengi wanashindwa kutoka majumbani kwao sababu ya mvua na radi nyingi. Punguza vikwazo Ifakara kumekucha ndugu.Na ukienda Ifakara msimu wa kung'olelea mpunga (march mpaka Mei) aisee huwa kunapooza sana!
Yaani mishe mishe na kuchangamka ni wakati wa mavuno na kiangazi (Juni mpaka Disemba)! Mfano ukienda leo Ifakara, ni lazima utafurahia zile mishe mishe za watu. Ila baada ya hapo, kunadorora tena!
Kama anasema mji umeishia airport, ni dhahir amefika kitambo sana njombe , hajaona soko jipya wala stendi mpyaIlikuwa mwaka gani??.
Sijafika, pakoje mkuu ?Boss umefika Kanyigo kwa akina Rugemarila?????
K asema unapanda magari elfu moja ndio ufike mjiniHiyo 1000 ni nauli au kilomita kutoka pale
Idadi ya gari utakazopandaHiyo 1000 ni nauli au kilomita kutoka pale
mbona mnataka kufananisha dsm na New york? kweli ifakara ndio uiweke kwenye mzani mmoja na Njombe? iheshimuni Njombe hata kidogo basi.Kilombero teak plantation .Kilombero Plantation Ltd uwekezaji mega...Ifakara kumekucha
Kabisaaa,ndo maana nimetaka aseme mwaka aliokuja Njombe.Kama anasema mji umeishia airport, ni dhahir amefika kitambo sana njombe , hajaona soko jipya wala stendi mpya
Sure mkuu..na mvua zikinyesha ni keroNa ukienda Ifakara msimu wa kung'olelea mpunga (march mpaka Mei) aisee huwa kunapooza sana!
Yaani mishe mishe na kuchangamka ni wakati wa mavuno na kiangazi (Juni mpaka Disemba)! Mfano ukienda leo Ifakara, ni lazima utafurahia zile mishe mishe za watu. Ila baada ya hapo, kunadorora tena!
Niongezee tu kwa TZ wilaya ambazo zinavibe ni pamoja Masasi, Mbinga,Kahama, Ifakara na Tunduma hizi sehemu huduma zote muhimu zipo
Boss umefika Kanyigo kwa akina Rugemarila?????