Mji mzito huu

Kheeeeh kumbe waterzooh n Islamic? Kipi kilichomfanya abadili dini? N mama G au?
Muislam kaka etu,hajabadili kwa mama G nafikiri yule alompa maisha hapa mjini yule mmiliki wa Maisha Club nadhani ndo alomfanya abadili dini si unajua ukija mjini mambo yanakua mengi.na sio msukuma yule,Yule ni wa Kusini,mengine mniache bwana
naogopa miyee
 
Woooiii!!ukuni for everibadiiii!!!
 
acha baasi unavoandika sasa...I can imagine unavoongea!jinga sana!
 
Hebu tupe ubuyu, ujue tumeanza vikao vya chini chini jina lako linatajwa tajwa kati ya wanaostahili kukalia kiti cha binamu πŸ˜‚ jasiri muongoza umbea (r.i.p friend)...
 
Hebu tupe ubuyu, ujue tumeanza vikao vya chini chini jina lako linatajwa tajwa kati ya wanaostahili kukalia kitu cha binamu
jasiri muongoza umbea (r.i.p friend)...
akuu!staki miye kuvamiwa na wasojulikana maana kwa mitusi ile alokua anapata warumi mimi Poo kwanza!acha tu niwe mshabiki maandazi mitusi ile alokua anatukanwa mimi ntapigwa life ban kabisaaa!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hahaaaa!!daahh

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Andaa cv na urudi darasani ukachukue kozi ya miezi mitatu, kozi ya uvumilivu....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Uvumilie matusi, mashushu na kusutwa
 
Sasa mtu akikupa channel ndio unabadili hadi dini kwa ajili yake???? Mmmh kuna kitu...
 
Nini kilimuua mkuu?

Tupe hints kidogo basi
 
Naons Raia mko kwenye ubora wenu

Ngoja tuvute popcorn na chibuku tutizame huu mchuano vizuri
 
DOGO gan hyo maana na mm Kuna DOGO tumesoma nae yupo mawingun
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…