Mji kama Kahama ukitoa ule mgodi kinabakia nini pale?

Mji kama Kahama ukitoa ule mgodi kinabakia nini pale?

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,564
Reaction score
8,876
Watanzania kuna nyakati tuambizane ukweli, mji kama Kahama ukitoa ule mgodi wa Buzwagi nini kinabaki pale Kahama? Kuna raia humu watataja car wash, guest house, bajaji, frame, saloon, maduka ya nguo na kadhalika, na sio Kahama tu nenda Geita then ondoa ule mgodi hakuna kinacho bakia pale Geita, kwamba ni kitu strong kwa uchumi. Kahama kidogo sana vile viwanda vya mpunga vile ndio unaweza sema kuna kitu pale ila sio zile hoteli na frame.

Hii iko kwenye miji mingi nchi hii, uwekezaji mwingi ni wa vitu kama hotel, car wash, frame na maduka ya nguo. Je, hizi tunaweza shindanisha na biashara za wachina?
 
Ueleweki mantiki yako ni nini, Kahama ni mji wa kibiashara mgodi wa Buzwagi sio machimbo pekee ya dhahabu Kahama kuna maeneo kama mwime, mwakitoryo kote huko ni kahama na kuna fursa nyingi tu za kutosha uwezi kutumia reference moja kusema hakuna uwekezaji
 
Kwanza unapaswa kuelewa kuwa mgodi sio huo mmoja pekee unaoujua wewe...

Pili...
kuna migodi midogo nje ya buzwagi na ila run kivyake...

Tatu kahama itabaki tu kuwepo ata nje ya mgodi sababu imeshakuwa center ya kibiashara... Yani nje ya watanzania, kahama ni soko la nchi kadhaa tunazopakana nazo, yani wao uja kufanya biashara kahama!
 
Ueleweki mantiki yako ni nini, Kahama ni mji wa kibiashara mgodi wa Buzwagi sio machimbo pekee ya dhahabu Kahama kuna maeneo kama mwime, mwakitoryo kote huko ni kahama na kuna fursa nyingi tu za kutosha uwezi kutumia reference moja kusema hakuna uwekezaji
Huyu hajui historia, mgodi wa Buzwagi ni wa juzi tu, Kahama ilishathrive hadi kuwa considered kupewa umanispaa kabla ya mgodi wa Buzwagi kuwepo.
 
Watanzania kuna nyakati tuambizane ukweli, mji kama Kahama ukitoa ule mgodi wa Buzwagi nini kinabaki pale Kahama? Kuna raia humu watataja car wash, guest house, bajaji, frame, saloon, maduka ya nguo na kadhalika, na sio Kahama tu nenda Geita then ondoa ule mgodi hakuna kinacho bakia pale Geita, kwamba ni kitu strong kwa uchumi. Kahama kidogo sana vile viwanda vya mpunga vile ndio unaweza sema kuna kitu pale ila sio zile hoteli na frame.

Hii iko kwenye miji mingi nchi hii, uwekezaji mwingi ni wa vitu kama hotel, car wash, frame na maduka ya nguo. Je, hizi tunaweza shindanisha na biashara za wachina?
Kuna Tamthilia ya South Africa ilikuwa inarushwa ITV kwa jina la EGOLI, chini yake kulikuwa na maandishi ya kuchombeza A PLACE MADE OF GOLD
Nilikuwa sijui maana hasa ya hilo chombezo mpaka nilipofika South Africa na kwa bahati sana nikafikia hotel inayoitwa Egoli ndani ya jiji la Johannesburg

Hili jiji limejengwa na dhahabu inayopatikana hapo, Jburg haina chanzo asili cha maji maji yake yanatoka Zimbabwe
Miundombinu yake
Umeme wa uhakika
Uwekezaji wake nknk
Vyote hivi vimetokana na matumizi sahihi ya mapato yatokanayo na dhahabu yao na ndio maana likazaliwa jina la A place made of gold
Je kule Mwadui Shinyanga hali ikoje
Hapo Kahama je
Vipi kule Mirerani kwenye Tanzanite?

Madini sio mimea kwamba yakiisha utaotesha mengine la hasha yakiisha yameisha.. Je yakiisha tutabaki na nini cha kujivunia kama wenzetu?
Shinyanga a place made of Diamond?
Kahama a place made of Gold?
Mirerani a place made of Tanzanite ?

Naomba niishie hapa
 
Umeuliza economic activities au umeangalia vitu Kwa macho. Great thinker hawezi kutoa conclusion Kwa kuhisi tu. Jaribu kujifunza hapo. Swali dogo tu. Kwanini wilayani Kahama Kuna bank nyingi kuliko mkoani Shinyanga?
 
Kuna Tamthilia ya South Africa ilikuwa inarushwa ITV kwa jina la EGOLI, chini yake kulikuwa na maandishi ya kuchombeza A PLACE MADE OF GOLD
Nilikuwa sijui maana hasa ya hilo chombezo mpaka nilipofika South Africa na kwa bahati sana nikafikia hotel inayoitwa Egoli ndani ya jiji la Johannesburg

Hili jiji limejengwa na dhahabu inayopatikana hapo, Jburg haina chanzo asili cha maji maji yake yanatoka Zimbabwe
Miundombinu yake
Umeme wa uhakika
Uwekezaji wake nknk
Vyote hivi vimetokana na matumizi sahihi ya mapato yatokanayo na dhahabu yao na ndio maana likazaliwa jina la A place made of gold
Je kule Mwadui Shinyanga hali ikoje
Hapo Kahama je
Vipi kule Mirerani kwenye Tanzanite?

Madini sio mimea kwamba yakiisha utaotesha mengine la hasha yakiisha yameisha.. Je yakiisha tutabaki na nini cha kujivunia kama wenzetu?
Shinyanga a place made of Diamond?
Kahama a place made of Gold?
Mirerani a place made of Tanzanite ?

Naomba niishie hapa
Hakika mkuu, nchi hii Kuna shida Sana.
 
Buzwagi siyo issue kwenye ukuaji wa mji wa Kahama bali uwepo wa migodi midogo midogo na factors zingine kibao.

Buzwagi yenyewe ilianza productions juzi t May 2009.😁

Angalia Mji wa Nzega na mgodi wa Resolute Mining pale Lusu ila mji ni duni vilevile hadi wameondoka tu.

More info;Buzwagi Gold Mine, Shinyanga
 
Mgodi unalipa Kodi na malipo mengine yote serikali kuu. Wafanyakazi wa mgodini karibia asilimia 95 wanatoka nje ya wilaya na wengine wanatoka nje ya Nchi. Je Hawa wafanyakazi watawekeza kahama au kwao walipotoka? ,
 
Kuna Tamthilia ya South Africa ilikuwa inarushwa ITV kwa jina la EGOLI, chini yake kulikuwa na maandishi ya kuchombeza A PLACE MADE OF GOLD
Nilikuwa sijui maana hasa ya hilo chombezo mpaka nilipofika South Africa na kwa bahati sana nikafikia hotel inayoitwa Egoli ndani ya jiji la Johannesburg

Hili jiji limejengwa na dhahabu inayopatikana hapo, Jburg haina chanzo asili cha maji maji yake yanatoka Zimbabwe
Miundombinu yake
Umeme wa uhakika
Uwekezaji wake nknk
Vyote hivi vimetokana na matumizi sahihi ya mapato yatokanayo na dhahabu yao na ndio maana likazaliwa jina la A place made of gold
Je kule Mwadui Shinyanga hali ikoje
Hapo Kahama je
Vipi kule Mirerani kwenye Tanzanite?

Madini sio mimea kwamba yakiisha utaotesha mengine la hasha yakiisha yameisha.. Je yakiisha tutabaki na nini cha kujivunia kama wenzetu?
Shinyanga a place made of Diamond?
Kahama a place made of Gold?
Mirerani a place made of Tanzanite ?

Naomba niishie hapa
Hii 'inji' inasikitisha Sana

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom