MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,564
- 8,876
Watanzania kuna nyakati tuambizane ukweli, mji kama Kahama ukitoa ule mgodi wa Buzwagi nini kinabaki pale Kahama? Kuna raia humu watataja car wash, guest house, bajaji, frame, saloon, maduka ya nguo na kadhalika, na sio Kahama tu nenda Geita then ondoa ule mgodi hakuna kinacho bakia pale Geita, kwamba ni kitu strong kwa uchumi. Kahama kidogo sana vile viwanda vya mpunga vile ndio unaweza sema kuna kitu pale ila sio zile hoteli na frame.
Hii iko kwenye miji mingi nchi hii, uwekezaji mwingi ni wa vitu kama hotel, car wash, frame na maduka ya nguo. Je, hizi tunaweza shindanisha na biashara za wachina?
Hii iko kwenye miji mingi nchi hii, uwekezaji mwingi ni wa vitu kama hotel, car wash, frame na maduka ya nguo. Je, hizi tunaweza shindanisha na biashara za wachina?
