Mtokambali
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 222
- 99
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.
all za best
Off point