Mjane

Mjane

Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best


Off point
 
Eksi kidumu, hata mie nikikutana na mbaba ambae kafiwa na mkewe namuangalia kwa macho matatu mwenzangu. Ila sasa huyu ni mnyanyapaa tu. Bora angeachana nae yakaisha.


samahani, nomekununia.
Nendeni mkapime wote, kama hatakuwa tayari kukubaliana na ukweli bsi hakupendi ila anakutumia tuu, na hiyo story ya kuwa mumeo alikua muathirika ilitoka wapi?? it must have a source, jaribu kuongea naye ki upole tuu kama hataweza kuendelea na uhusiano mama wanaume wapo tuu, kaa utapata mwingine vizuri tuu.
 
Nendeni mkapime wote, kama hatakuwa tayari kukubaliana na ukweli bsi hakupendi ila anakutumia tuu, na hiyo story ya kuwa mumeo alikua muathirika ilitoka wapi?? it must have a source, jaribu kuongea naye ki upole tuu kama hataweza kuendelea na uhusiano mama wanaume wapo tuu, kaa utapata mwingine vizuri tuu.

hapo ndio kwenye maneno. inawezekana mtaani kuna minong'ona kwamba husband wa Mjane aliathirika hivyo kumfanya kijana awe na wasiwasi.
 
Last edited by a moderator:
Umemaliza!
tafuta kiporo chenzio uepuke unyanyapaa. Kama mie saa hizi binti Mtambuzi nikaolewe na mtoto wa jk, si kujitaftia kunyanyapaliwa tu! Hata babangu akinimiss akaja kuniona watadhani anakuja kushangaa ama kuomba! Wooi!
We unalia tena unajiletea bwabwa lingine la kukuliza?...mbona unajinyanyasa? Grow up mama, unaonekana kama unajibembelezesha na kujiliza kwa hicho kiserengeti boy wakati chenyewe hakina mapenzi na wewe, tafuta mtu size yako aliye tayari kukupa furaha, huyo dogo atakutia umaskini, vilio, aibu na masimango, trust me, he is not going to change hata ukimwandika kwenye forums, kama vipimo mara nne havijamridhisha kama mko salama, na bado akiwa na nyege zake anataka kukulala kama kawaida then bado anasema we mgonjwa wewe hauoni kwamba huo mtu hana mpango na wewe anaridhisa tamaa za mwili tu!
 
Last edited by a moderator:
Sikujua kuwa mume akifa mali ni za ukoo...(wewe unatokea pande za Odinga nini? )

Nijuavyo agegedwe; au aamue kuolewa mali zitabaki kuwa zake na watoto wake...kuwa mjane si kuwa mtumwa wa ukoo; na kukosa uhuru...ila kwa watani zangu Jaluo najua opposite is true

Tudai Haki;
Naomba unielewe vyema. Nimemwambia asijiite mjane kwa sababu sasa mumewe keshatangulia mbele ya haki. Sio kosa lake. Ila, sasa yupo huru kuolewa kihalali na mume mwingine wala sio kila mwanaume mwenye mgegedo. Upo hapo?
Amesema ati hataki kuolewa ila anataka kukaa kwenye hiyo nyumba ya marehemu, halafu aendelee kugawa penzi nje ya ukoo wa marehemu na haswa kijogoo kidogo sana ndicho amekizimia, halafu dogoo hakataki kum do kwa kuogopa asije kufa kabla ya wakati tena kwa kuuawa na "Used" iliyomuua mume.
Hiyo haki unayoidai hapo iko wapi? Ndo maana nimemwambia, asijiite mjane kwani hataweza kukaa hivyo. Lakini kama amejihakiki mara 4 ka alivyosema! na hii isijekuwa ni kwa siku moja vipimaji tofauti, basi akubali kuolewa na nimemwambia akitamani bado mali za marehemu, basi akubali kuridhiwa ka shamba la ukoo.
 
Eksi kidumu, hata mie nikikutana na mbaba ambae kafiwa na mkewe namuangalia kwa macho matatu mwenzangu. Ila sasa huyu ni mnyanyapaa tu. Bora angeachana nae yakaisha.


samahani, nomekununia.
Umeona eeh mpenzi,,,kwa kweli ila ulivyoninunia sijapenda.
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

Mama shikamoo.. Pole kwa uchupa wa Muda mrefu.. Ishauri usiwakurupukie hawa vijana wa siku hizi hawana adabu huwa wanataka pwesa tyuu.. Na ndio mana hakuamini..

Daima kumbuka mtu anaempenda mtu huwa ana mwamini mpenzi wake.. Na kama hakuamini tena. Jua huyo tapeliiiii
 
we mama hebu acha kumpotezea muda kijana wa watu.
 
Sikujua kuwa mume akifa mali ni za ukoo...(wewe unatokea pande za Odinga nini? )

Nijuavyo agegedwe; au aamue kuolewa mali zitabaki kuwa zake na watoto wake...kuwa mjane si kuwa mtumwa wa ukoo; na kukosa uhuru...ila kwa watani zangu Jaluo najua opposite is true

Sijazigawa mali za marehemu, hapana. Zinamsuta huyu mjane mwenyewe ndo maana akasema anataka kuwalea watoto wake 2 akiwa pamoja na ndgze marehemu.
Hii kwa maana ni kuwa, anaona asiondoke na mali za marehemu ili tu aweze kuifurahisha roho/nafsi yake isimsute. Inaonesha alimkuta marehemu na mali zake za kumtosha hivyo anaona akiolewa nje ya ukoo atasutwa na mali hizo.
Sijamnyima uhuru wake, aolewe lakini na mtu wa saizi yake siyo kijana ambaye hajawahi kuoa. Simshauri kuwavutia vijana wadogo kwa mali za marehemu, au weye nyumba kubwa unaonaje?
 
Ikiwa umeshapima tayari mara kadhaa na majibu yako mazuri, tatizo nini asichoelewa huyo ndugu?

Mbona hajiamini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom