BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Kama hakuamini kuna haja gani ya kuwa nae?
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.
all za best
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.
all za best
Achana nae nitafute mimi, asitafute kisingizio km kusepa asepe tu aache ndarandinda nyingi! yeye mwenyewe anachepuka sana tu sema hujamstukia tu!
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.
all za best
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.
all za best
Na yeye ni binadamu anahisia kama wewe, fikiria kama ungelikuwa wewe ulizoea kugegedana kila unapohitaji zen unakaa miaka 2 dry,
Sema kosa lake ni kujifanya hataki kuolewa kumbe kila wakati anaolewa, huo ni unafiki, kwa mwenye akili hakuna atakaekushangaa ila kuwa makini kama unauwezo unaweza ukaleta matatzo ukizan umependa kumbe wamependa vhela vyako.
Bora yale mambo ya kurithishana ndugu mke yaendelee.Maana haitakubalika huyo kijana kuja kwa marehemu mume wako ni aibu
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?
Ndoa za kurithishana tuzipige vita kwa NGUVU zote mkuu.
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.
all za best