Mjane

Mjane

Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

Mtake radhi mama mjane!
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

We unalia tena unajiletea bwabwa lingine la kukuliza?...mbona unajinyanyasa? Grow up mama, unaonekana kama unajibembelezesha na kujiliza kwa hicho kiserengeti boy wakati chenyewe hakina mapenzi na wewe, tafuta mtu size yako aliye tayari kukupa furaha, huyo dogo atakutia umaskini, vilio, aibu na masimango, trust me, he is not going to change hata ukimwandika kwenye forums, kama vipimo mara nne havijamridhisha kama mko salama, na bado akiwa na nyege zake anataka kukulala kama kawaida then bado anasema we mgonjwa wewe hauoni kwamba huo mtu hana mpango na wewe anaridhisa tamaa za mwili tu!
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

Nafikiri haujausoma uzi wa mama hapo juu au na wewe una stress
 
Tuliza akili chukua muda mwingine kumtafuta mtu atakaye kuamini...Maana ni ngumu kumlazimisha mtu akuamini hata vipimo.
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

Hajaisusa ndoa bidada, kasema mumewe is no more, rejea viapo vya ndoa mpaka kifo kiwatenganishe.
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

Nendeni mkapime wote, kama hatakuwa tayari kukubaliana na ukweli bsi hakupendi ila anakutumia tuu, na hiyo story ya kuwa mumeo alikua muathirika ilitoka wapi?? it must have a source, jaribu kuongea naye ki upole tuu kama hataweza kuendelea na uhusiano mama wanaume wapo tuu, kaa utapata mwingine vizuri tuu.
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

Hujjamuelewa kwa kweli...
 
Na yeye ni binadamu anahisia kama wewe, fikiria kama ungelikuwa wewe ulizoea kugegedana kila unapohitaji zen unakaa miaka 2 dry,
Sema kosa lake ni kujifanya hataki kuolewa kumbe kila wakati anaolewa, huo ni unafiki, kwa mwenye akili hakuna atakaekushangaa ila kuwa makini kama unauwezo unaweza ukaleta matatzo ukizan umependa kumbe wamependa vhela vyako.

Tudai Haki;
Naomba unielewe vyema. Nimemwambia asijiite mjane kwa sababu sasa mumewe keshatangulia mbele ya haki. Sio kosa lake. Ila, sasa yupo huru kuolewa kihalali na mume mwingine wala sio kila mwanaume mwenye mgegedo. Upo hapo?
Amesema ati hataki kuolewa ila anataka kukaa kwenye hiyo nyumba ya marehemu, halafu aendelee kugawa penzi nje ya ukoo wa marehemu na haswa kijogoo kidogo sana ndicho amekizimia, halafu dogoo hakataki kum do kwa kuogopa asije kufa kabla ya wakati tena kwa kuuawa na "Used" iliyomuua mume.
Hiyo haki unayoidai hapo iko wapi? Ndo maana nimemwambia, asijiite mjane kwani hataweza kukaa hivyo. Lakini kama amejihakiki mara 4 ka alivyosema! na hii isijekuwa ni kwa siku moja vipimaji tofauti, basi akubali kuolewa na nimemwambia akitamani bado mali za marehemu, basi akubali kuridhiwa ka shamba la ukoo.
 
sasa alikutongoza wa nini kama alihis hivyo? au we ndo ulimtaka, mwache akuache bana
 
Bora yale mambo ya kurithishana ndugu mke yaendelee.Maana haitakubalika huyo kijana kuja kwa marehemu mume wako ni aibu
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

Miaka miwili tu, tayari umeshafanya "replacement"? Sitashangaa kama utasema kuwa "Dogo" alikuwepokuwepo enzi za uhai wa Marehemu!
 
Ndoa za kurithishana tuzipige vita kwa NGUVU zote mkuu.

Nyumba aliyojenga kaka yako akifa utakubali mume mwingine aje aishi na kuzaa kwenye nyumba ya ndugu yako?na shemeji yako akija kufariki yule mume arithi?
 
Ni miaka 2 toka Mume wangu Mpenzi afariki,kwakuwa ni jambo ambalo limekuwa linaniumiza sn ,nimeamua kutoolewa nilee tu mtoto wangu na ndugu zake .Pamoja na hayo nimekuwa na mahusiano na kijana ambaye nimemzidi miaka 3 kiumri ,tatizo linakuja amekuwa aniamini ,anadhani kuwa mm ni muathirika kwakuwa nimefiwa na mume pamoja na kupima zaidi ya mara 4 na kuonekana niko safi ,kwakweli anazidi kuniongezea maumivu badala ya kuwa msaada kwangu...nifanyaje ?

Mwache akwende ,,,,,,,,,,,,
 
Duuh pole yako....wewe mama hatari sana, kisa cha kuisusa ndoa ni nini, yani kutembea nje ni sawa lakini ndoa mashaka. Anyways naheshimu uamuzi wako, pili naona bora tu utafute kijana aliyekomaa kimawazo, huyo atakutia stress maana hizo ni psychological torture.

all za best

umetia kiroba au ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom