Mjamzito kukosa hamu ya kusex na kumchukia baba kijacho

Mjamzito kukosa hamu ya kusex na kumchukia baba kijacho

Illuminata Rodgers

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2,845
Reaction score
2,030
Habarini wana JF,

Hivi ni sababu ipi ambayo hupelekea binti akiwa mjamzito kumchukia mpenzi wake ambaye ndiye baba mtarajiwa, yani unakuta anamchukia na kupanic mara kwa mara juu yake pia hamu ya kusex anakua hana kabisa na hata hisia na mpenzi wake zinakua hamna hata kidogo, tatizo linakua ni nini hapo?
 
Hapo ujue mimba siyo yako ndio maana anakuwa anakuchukia..

Mara nyingi na kwa walio wengi kipindi cha ujauzito mwanamke hupenda sana kugegedwa sasa kama ww unachukiwa tambua yupo inayemhitaji ..
Hii ndio jf kuwa makini na ushaur unaotolewa
Zakuambiwa changanya na za kwako
 
Hapo ujue mimba siyo yako ndio maana anakuwa anakuchukia..

Mara nyingi na kwa walio wengi kipindi cha ujauzito mwanamke hupenda sana kugegedwa sasa kama ww unachukiwa tambua yupo inayemhitaji ..
Hii ndio jf kuwa makini na ushaur unaotolewa
Zakuambiwa changanya na za kwako
Mmh si kweli kwani wajawazto wote wanapenda kugegedwa
 
14.02.2017...teh teh! Nina kumbukumbu illuminata. Ni kawaida sana, kwa ufahamu wangu mdogo hiyo inasababishwa na vichocheo ndani ya mwili wa mwanamke, japo pia wanawake wanatofautiana, wapo wanaopenda sana na wengine hawataki kuguswa kabisa.
 
Hapo ujue mimba siyo yako ndio maana anakuwa anakuchukia..

Mara nyingi na kwa walio wengi kipindi cha ujauzito mwanamke hupenda sana kugegedwa sasa kama ww unachukiwa tambua yupo inayemhitaji ..
Hii ndio jf kuwa makini na ushaur unaotolewa
Zakuambiwa changanya na za kwako
Wacha weee
 
Inamaana Hujui Kitu Kinachopelekea Hayo Yote Kutokea Ni Hiyo MIMBA Aliyokuwa Nayo??.
 
Atake asitake lazima nimgegede kusudi kulainisha njia zileeee.. Na kingine mimi kama beberu kamili nitaenda wapi kubashia mambo yangu na ikiwa wewe ndio mlengwa
hahaha
 
Mabibi wanasema mimba ikimchukia baba basi mtoto anaiba sura ya baba yake tumboni. Kuhusu kukataa tendo la ndoa labda pia perfume na deodorant unazotumia zinamchefua mkeo hivyo hataki hata kukusogelea.
 
14.02.2017...teh teh! Nina kumbukumbu illuminata. Ni kawaida sana, kwa ufahamu wangu mdogo hiyo inasababishwa na vichocheo ndani ya mwili wa mwanamke, japo pia wanawake wanatofautiana, wapo wanaopenda sana na wengine hawataki kuguswa kabisa.
Kumbukumbu ya nini mkuu
 
Back
Top Bottom