Mjamzito kukosa hamu ya kusex na kumchukia baba kijacho

Mjamzito kukosa hamu ya kusex na kumchukia baba kijacho

atajifungua mtoto wa kiumd huyo mara nying wajazito wanazaa watoto wa kiume huwa na tabia kaa hizo
 
Habarini wana JF,

Hivi ni sababu ipi ambayo hupelekea binti akiwa mjamzito kumchukia mpenzi wake ambaye ndiye baba mtarajiwa, yani unakuta anamchukia na kupanic mara kwa mara juu yake pia hamu ya kusex anakua hana kabisa na hata hisia na mpenzi wake zinakua hamna hata kidogo, tatizo linakua ni nini hapo?
Ilibak kidogo ndoa yangu kuvunjika kwasababu ya kumchukia mume wangu kipind cha ujauzito
 
Mm nakataa sikweli kwamba inakua mimba si yako, pia kuna wanaume mapenzi uisha pindi tu mwanamke anapokuwa mjamzito na mwanamke anapogundua hilo hawezi kukugusa hata siku moja coz inauma sana. Mwanamke anapokataa lazima kipo kitu ww mwanaume unachosababisha.
 
Back
Top Bottom